Uonevu kwa raia na manyanyaso

Nmekuja hapa kushare hii kitu kwa uchungu sana. Sikuwa na kosa lolote
.je wapo wangapi wanaonyanyaswa na hawa jamaa.sawa nimekosea kwa nini mnitukane matusi na kunipiga .je kwa nini msinipeleke kituoni...nilichoona hawa wanakawaida ya kutafta namna itakowanufaisha kutoka kwa raia..kitendo cha mimi kuwa mtiifu bila kuwapinga kimewastua kwa maana walinisoma pia nilivyofocus kuangalia namba zao..what if kunifanyia hivyo ni kunipa hasira ili nipambane nao ili wapate mwanya wa kuniibia ama kunibambikia kesi....
Ukiona mtu kavaa uniform ya jeshi la polisi Tanzania hata kama ni mwanao mkwepe kwa kadiri ya uwezo wako wote. Mimi ningekuwa daktari hakuna mgonjwa wangu ambaye ni polisi angeweza kuepuka kifo. Kila anayefika kwangu ningempa kidonge cha sumu nihakikishe nimempa na maji ameze akafie mbele kwa mbele.
 
Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..

Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."

Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.

Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..

Hili kisheria likoje?
Hakika wewe ni FALLA.
unakubali je hilo?
Baada ya kukuachia ulipaswa uwachukulie hatua.
Ungeenda central kiwashitaki kwa wakubwa wao
 
Nmekuja hapa kushare hii kitu kwa uchungu sana. Sikuwa na kosa lolote
.je wapo wangapi wanaonyanyaswa na hawa jamaa.sawa nimekosea kwa nini mnitukane matusi na kunipiga .je kwa nini msinipeleke kituoni...nilichoona hawa wanakawaida ya kutafta namna itakowanufaisha kutoka kwa raia..kitendo cha mimi kuwa mtiifu bila kuwapinga kimewastua kwa maana walinisoma pia nilivyofocus kuangalia namba zao..what if kunifanyia hivyo ni kunipa hasira ili nipambane nao ili wapate mwanya wa kuniibia ama kunibambikia kesi....
Mkuu aamini nakuambia,kilio chako lazima kitawafikia wenye Mamlaka,na watalifanyia kazi,ila usiache kuja kutupa mrejesho Mambo yakienda vizuri!!
 
Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..

Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."

Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.

Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..

Hili kisheria likoje?
Tatizo lako umesahau kuwa hao majamaa mazoezi mengi halafu mechi hakuna ukizingua tu kidogo unabutuliwa.Bila shaka uliwanyea mbovu na ulikuwa unakoment jamii forum wakati upo eneo la benki ulipoambiwa potea hapo ukaleta ujuaji sasa wamekuonesha wanajua zaidi yako. Pole sana ila sema kimo moyo tu ujuaji wangu umenicost mpaka nikachezea kichapo kizembe.
 
Tatizo lako umesahau kuwa hao majamaa mazoezi mengi halafu mechi hakuna ukizingua tu kidogo unabutuliwa.Bila shaka uliwanyea mbovu na ulikuwa unakoment jamii forum wakati upo eneo la benki ulipoambiwa potea hapo ukaleta ujuaji sasa wamekuonesha wanajua zaidi yako. Pole sana ila sema kimo moyo tu ujuaji wangu umenicost mpaka nikachezea kichapo kizembe.
Hata Kama mazowezi ni mengi,lakini jiepusheni sana kupiga Raia wasiokua na hatia! Mtakuja kutana na Jasusi alafu mziponze hadi familia zenu zisizokua na hatia!!
 
Tatizo lako umesahau kuwa hao majamaa mazoezi mengi halafu mechi hakuna ukizingua tu kidogo unabutuliwa.Bila shaka uliwanyea mbovu na ulikuwa unakoment jamii forum wakati upo eneo la benki ulipoambiwa potea hapo ukaleta ujuaji sasa wamekuonesha wanajua zaidi yako. Pole sana ila sema kimo moyo tu ujuaji wangu umenicost mpaka nikachezea kichapo kizembe.
Kuja hapa ni kupaza sauti iwe msaada kqa wengi.mbona tumeshasolve iyo ishu na mpaka leo saa nne kila kitu kimeisha..ukiweza kufikirisha ubongo wako utakuwa bora zaidi ya ulivyo
 
Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..

Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."

Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.

Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..

Hili kisheria likoje?
Peleka malalamiko Kwa Benki husika, kama mteja wao kwamba umepigwa na kudhalilishwa ndani ya eneo lao bila kosa wakati umetoka kupata huduma kwao.

Wao Benki watarejea kwenye CCTV Camera zao kuweza kuona kilichotendeka na wao kama Wateja kwa Jeshi la Polisi watapeleka malalamiko kuwa Walinzi wao wananyanyasa Wateja wanaokuja kupata huduma Benki na kwamba inatishia mahusiano yao ya kibiashara na wateja.

Hapo Nina imani hatua zitachukuliwa.
 
Tatizo lenu huwa hamsemi ukweli chanzo nini unachotaka kituaminisha kuwa hao jamaa wanapiga wateja wanaokwenda Bank bila sababu sasa cha ajabu watu tunaenda Bank kila siku wala hayo hayatukuti na shida yenu mnaambizana mtaani kuwa hamuwaogopi hao jamaa hivyo mnatest mitambo, hao wanaitwa members of the force ni soldiers hao sio wenzako sasa ukileta dharau zako wanakuchakaza sababu wapo kwenye eneo lao la lindo hawajakufata nyumbani kwako.
 
Back
Top Bottom