C ungeenda kwa branch menejaHata mimi kusema ukweli sipendi maonevu pia sina pesa wala cheo cha kinilinda
Ukiona mtu kavaa uniform ya jeshi la polisi Tanzania hata kama ni mwanao mkwepe kwa kadiri ya uwezo wako wote. Mimi ningekuwa daktari hakuna mgonjwa wangu ambaye ni polisi angeweza kuepuka kifo. Kila anayefika kwangu ningempa kidonge cha sumu nihakikishe nimempa na maji ameze akafie mbele kwa mbele.Nmekuja hapa kushare hii kitu kwa uchungu sana. Sikuwa na kosa lolote
.je wapo wangapi wanaonyanyaswa na hawa jamaa.sawa nimekosea kwa nini mnitukane matusi na kunipiga .je kwa nini msinipeleke kituoni...nilichoona hawa wanakawaida ya kutafta namna itakowanufaisha kutoka kwa raia..kitendo cha mimi kuwa mtiifu bila kuwapinga kimewastua kwa maana walinisoma pia nilivyofocus kuangalia namba zao..what if kunifanyia hivyo ni kunipa hasira ili nipambane nao ili wapate mwanya wa kuniibia ama kunibambikia kesi....
HaisaidiiMkuu Mshana alitoa number za wakuu wote wa vituo vya polisi, wapigie simu utoe malalamiko yako.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Hakika wewe ni FALLA.Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..
Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."
Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.
Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..
Hili kisheria likoje?
Iweke hapa tumsulubisheNatamani niwe na hiyo namba..pia police aliyenipiga mmoja wao nina namba yake h-9090
Huwajui vizuriHakika wewe ni FALLA.
unakubali je hilo?
Baada ya kukuachia ulipaswa uwachukulie hatua.
Ungeenda central kiwashitaki kwa wakubwa wao
Wabongo ni shida sana,wanaweza kukupasua kichwa ukiwawaza sana!!Sasa hapa ushahidi anaupataje mkuu? Ulitaka ajirekodi mzee wakati anapigwa?
Siku akikutana na wapumbavu walioko kwenye system ndiyo atajua kua nao wanaweza kuji record huku wanataoa dozi!!Omba yasikukute dogo
Ya Mungu Mengi huwezi jua labda kweli kuna raia tayari wanayo hiyo video, siku hizi habari zinasambaa Kama moto!!Inawezekana kuna raia wamerekodi mkuu sio lazima awe yeye na ushahidi!
Mkuu aamini nakuambia,kilio chako lazima kitawafikia wenye Mamlaka,na watalifanyia kazi,ila usiache kuja kutupa mrejesho Mambo yakienda vizuri!!Nmekuja hapa kushare hii kitu kwa uchungu sana. Sikuwa na kosa lolote
.je wapo wangapi wanaonyanyaswa na hawa jamaa.sawa nimekosea kwa nini mnitukane matusi na kunipiga .je kwa nini msinipeleke kituoni...nilichoona hawa wanakawaida ya kutafta namna itakowanufaisha kutoka kwa raia..kitendo cha mimi kuwa mtiifu bila kuwapinga kimewastua kwa maana walinisoma pia nilivyofocus kuangalia namba zao..what if kunifanyia hivyo ni kunipa hasira ili nipambane nao ili wapate mwanya wa kuniibia ama kunibambikia kesi....
Tatizo lako umesahau kuwa hao majamaa mazoezi mengi halafu mechi hakuna ukizingua tu kidogo unabutuliwa.Bila shaka uliwanyea mbovu na ulikuwa unakoment jamii forum wakati upo eneo la benki ulipoambiwa potea hapo ukaleta ujuaji sasa wamekuonesha wanajua zaidi yako. Pole sana ila sema kimo moyo tu ujuaji wangu umenicost mpaka nikachezea kichapo kizembe.Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..
Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."
Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.
Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..
Hili kisheria likoje?
Hata Kama mazowezi ni mengi,lakini jiepusheni sana kupiga Raia wasiokua na hatia! Mtakuja kutana na Jasusi alafu mziponze hadi familia zenu zisizokua na hatia!!Tatizo lako umesahau kuwa hao majamaa mazoezi mengi halafu mechi hakuna ukizingua tu kidogo unabutuliwa.Bila shaka uliwanyea mbovu na ulikuwa unakoment jamii forum wakati upo eneo la benki ulipoambiwa potea hapo ukaleta ujuaji sasa wamekuonesha wanajua zaidi yako. Pole sana ila sema kimo moyo tu ujuaji wangu umenicost mpaka nikachezea kichapo kizembe.
Kuja hapa ni kupaza sauti iwe msaada kqa wengi.mbona tumeshasolve iyo ishu na mpaka leo saa nne kila kitu kimeisha..ukiweza kufikirisha ubongo wako utakuwa bora zaidi ya ulivyoTatizo lako umesahau kuwa hao majamaa mazoezi mengi halafu mechi hakuna ukizingua tu kidogo unabutuliwa.Bila shaka uliwanyea mbovu na ulikuwa unakoment jamii forum wakati upo eneo la benki ulipoambiwa potea hapo ukaleta ujuaji sasa wamekuonesha wanajua zaidi yako. Pole sana ila sema kimo moyo tu ujuaji wangu umenicost mpaka nikachezea kichapo kizembe.
Peleka malalamiko Kwa Benki husika, kama mteja wao kwamba umepigwa na kudhalilishwa ndani ya eneo lao bila kosa wakati umetoka kupata huduma kwao.Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..
Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."
Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.
Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..
Hili kisheria likoje?