FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Hilo bara la "Arab" ndiyo lipi, Afrika? Maana nijuavyo Waarabu wengi zaidi duniani wapo Afrika kuliko kontinenti lingine lolote lile.Ni
Ni Uarabuni.bara la Arab(mashariki ya kati)wanakokaa waarabu.faiza una swali lingne?
Middle East ni "political" territory, halimaanishi ni nchi ipi au bara lipi, ufanye kazi "uarabuni" usijuwe ni nchi ipi?
Hapo bado hujajielewa na hujaelewa kuwa wengine hatupokei habari za uzushi zisizoingia akilini. Tuambie nchi ipi na chuo kipi hicho cha "uarabuni" ulichokiona wewe hakina msikiti. Usirukeruke kama kuku anaetafuta pa kutaga.