Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

Ni
Ni Uarabuni.bara la Arab(mashariki ya kati)wanakokaa waarabu.faiza una swali lingne?
Hilo bara la "Arab" ndiyo lipi, Afrika? Maana nijuavyo Waarabu wengi zaidi duniani wapo Afrika kuliko kontinenti lingine lolote lile.

Middle East ni "political" territory, halimaanishi ni nchi ipi au bara lipi, ufanye kazi "uarabuni" usijuwe ni nchi ipi?

Hapo bado hujajielewa na hujaelewa kuwa wengine hatupokei habari za uzushi zisizoingia akilini. Tuambie nchi ipi na chuo kipi hicho cha "uarabuni" ulichokiona wewe hakina msikiti. Usirukeruke kama kuku anaetafuta pa kutaga.
 
Hilo bara la "Arab" ndiyo lipi, Afrika? Maana nijuavyo Waarabu wengi zaidi duniani wapo Afrika kuliko kontinenti lingine lolote lile.

Middle East ni "political" territory, halimaanishi ni nchi ipi au bara lipi, ufanye kazi "uarabuni" usijuwe ni nchi ipi?

Hapo bado hujajielewa na hujaelewa kuwa wengine hatupokei habari za uzushi zisizoingia akilini. Tuambie nchi ipi na chuo kipi hicho cha "uarabuni" ulichokiona wewe hakina msikiti. Usirukeruke kama kuku anaetafuta pa kutaga.
Screenshot_20190513-100450.png
 
Hilo bara la "Arab" ndiyo lipi, Afrika? Maana nijuavyo Waarabu wengi zaidi duniani wapo Afrika kuliko kontinenti lingine lolote lile.

Middle East ni "political" territory, halimaanishi ni nchi ipi au bara lipi, ufanye kazi "uarabuni" usijuwe ni nchi ipi?

Hapo bado hujajielewa na hujaelewa kuwa wengine hatupokei habari za uzushi zisizoingia akilini. Tuambie nchi ipi na chuo kipi hicho cha "uarabuni" ulichokiona wewe hakina msikiti. Usirukeruke kama kuku anaetafuta pa kutaga.
Faiza umeelewa
 
Safi sana, sasa eleza ni nchi nchi ipi na chuo kikuu kipi ambacho wewe ulifanya kazi na haukukuta msikiti kwenye hicho chuo?
Faiza umekosea cjawai kukuambia au kuandika unachoniulza.nilikuwa nakuambia kuwa uarabuni ni wap
 
Uislamu ulikotoka

Qur'an 2:255
2_255.gif

255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu. 255
 
Hili la Mohammed kufanya mapenzi na
Binti wa miaka Tisa mnalichukuliaje,nataka katika uislamu usinipe reference ya dini nyingine


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza leta ushahidi maana naona umekurupuka tu.

Leta ushahidi wa huko "kufanya mapenzi", hatutaki porojo.

Binafsi hakuna mahala katika Uislam nimesoma kuhusu mtume Muhammad salla Allahu alayhi wa Salaam "kufanya mapenzi" na binti wa miaka tisa.

Tuhuma hizo zipo makanisani tena kwa ushahidi kabisa wa Kimataifa. Naona ulianza kujihami mapema lakini data zipo.

Mtu kama wewe ndyo wenye chuki na Uislam kwa kujazwa tu ujinga maana hakuna Uislam ulipokukosea lakini unauchukia tu burebure. Mada UDOM wewe unaona imekukaba kooni unahamisha magoli. Hata huku huwezi utaishia kuaibika tu.
 
Religion is like a pair of shoes!! ......Find one that fits for you but don’t make me wear your shoes!!
 
Wacha wewe Mohammad alikuwa anafanya ufuska hata aliyemwita mtume kwa mara yakwanza ni jimama na hii ilitokea Mara baada ya Mohammad kutoka kushikwashikwa na shetani mapangoni
Kwanza leta ushahidi maana naona umekurupuka tu.

Leta ushahidi wa huko "kufanya mapenzi", hatutaki porojo.

Binafsi hakuna mahala katika Uislam nimesoma kuhusu mtume Muhammad salla Allahu alayhi wa Salaam "kufanya mapenzi" na binti wa miaka tisa.

Tuhuma hizo zipo makanisani tena kwa ushahidi kabisa wa Kimataifa. Naona ulianza kujihami mapema lakini data zipo.

Mtu kama wewe ndyo wenye chuki na Uislam kwa kujazwa tu ujinga maana hakuna Uislam ulipokukosea lakini unauchukia tu burebure. Mada UDOM wewe unaona imekukaba kooni unahamisha magoli. Hata huku huwezi utaishia kuaibika tu.
 
Religion is like a pair of shoes!! ......Find one that fits for you but don’t make me wear your shoes!!


But you might not be able to find a pair which best fits you without an outside assistance, keep on listening to new admonitions from other religions for the spiritual wellbeing needs spiritual foods.
 
Mkuu Mimi binafsi sijafika na wala sijui mazingira ya Udom, ila jinsi nilivyohadithiwa ninajaribu ku "imagine" kwamba ni eneo kubwa lililojumuisha jamii kubwa, katika jamii lazima huduma za kiroho na kimwili zipatikane, hakuwezi kukawa na mapungufu fulani katika jamii na dawa yake iwe ni kuadhibu sehemu ya jamii au jamii yote kutokana na wajinga wachache katika hiyo jamii.

Umesema kitu kibaya sana juu ya uislamu kwamba:- " kitu sipendi kuhusu uislamu ni kubagua makundi mengine na kuona kwamba hakuna dini zaidi ya wao---vunja huo msikiti-----"

👆🏻Hiyo ni kauli yenye chuki kali sana dhidi ya Uislamu na bila shaka Wewe ni MDINI.

Uislamu kama dini, mtu anaweza kujifunza kupitia Qur'an na sunna za mtume Muhammad (saw), na wala hatuoni katika maisha ya mtume (saw) alipokuwa kiongozi wa Maka kwamba alibagua Wakristo au Mayahudi kwa sababu walikuwepo katika uongozi wake na walimpenda sana kwa sababu aliwapa uhuru kamili wa kuabudu ibada zao na haki zote kama raia na huku akiwahubiria juu ya uislamu na ilikuwa ni hiyari yao kupokea au kukataa uislamu, maana yangu ni kwamba Usilaumu Uislamu kutokana na matendo maovu ya Waislamu, kama vile, mfano, siwezi kuulaumu Ukristo kwa matendo machafu ya (wakristo) mapadre wa kikatoliki waliowanajisi wavulana.

Inatakiwa ifanywe mipango mizuri kuhakikisha nyumba za ibada zinajengwa ili Mungu awe na nafasi yake katika jamii ya Udom, bila Mungu shetani huingia mahali pake na baraka na amani zitatoweka.

Umesema:- " vunja huo msikiti----" Sasa badala yake unajenga CASINO???!!.
Muhammad hakubaguwa Wakristo?
Muhammad hakuuwa Wayahudi 700-800?

Muhammad hakujiwekea watumwa wa ngono wa Kiyahudi na Kikristo?
 
Muhammad hakubaguwa Wakristo?
Muhammad hakuuwa Wayahudi 700-800?

Muhammad hakujiwekea watumwa wa ngono wa Kiyahudi na Kikristo?



Chuki yako binafsi dhidi ya uislamu na waislamu ndiyo shida yako.

Unasema Mtukufu mtume (saw) alikuwa mbaguzi kwa Wakristo, weka ushahidi wa kueleweka, kinyume chake tunaona ni Yesu ndiye aliyekuwa mbaguzi kwa watu wasiokuwa waisraeli kama wewe; soma (Mathayo 15:26) pale aliposema; si vyema kutwaa chakula cha watoto na kuwatupia Mbwa. Wewe umeitwa na Yesu Mbwa.

Unasema Mtume (saw) aliua wayahudi 700-800, huo ni uzandiki na uongo ulioshadidishwa na chuki binafsi, kinyune chake soma Injili uone jinsi Yesu alivyofundisha ukatili dhidi ya ubinadamu, soma Luka 19:27.

Kuweka watumwa wa ngono;, huo nao ni uongo na uzandiki wa kihuni na kijinga ulioshadidishwa na chuki, Watu wanasema Yesu ndiye aliyeanzisha ushoga na wananukuu Maandiko ya Injili,----sasa wewe huoni huko kwenu na unakuja kumsingizia uongo mtume mtukufu Muhammad (saw), laana ya Mungu iwe juu yako.
 
Chuki yako binafsi dhidi ya uislamu na waislamu ndiyo shida yako.
Sina chuki na wavaa vipedo!

Unasema Mtukufu mtume (saw) alikuwa mbaguzi kwa Wakristo, weka ushahidi wa kueleweka,
Unabisha Muhammad hakuwa mbaguzi?
Hakuuwa wayahudi 700-800?
Hajawaambia muweke watumwa wa ngono?

Dini yq kiislamu inaruhusu haya yafuatayo
1. Child sex
2. Killing on innocents
3. Slavery womens
4. Moral incompatibility

Whoever changes hus religion, execute him
(Al-bujhaari 6922)
Muhammad amesema Women's are inferior to men in intelligence😝 huyu jamaa alikuwa lofa sana.

Anasema Ezra eti wayahudi wanamuita mwana wa Mungu hivi alikuwa na akili kweli?

kinyume chake tunaona ni Yesu ndiye aliyekuwa mbaguzi kwa watu wasiokuwa waisraeli kama wewe; soma (Mathayo 15:26) pale aliposema; si vyema kutwaa chakula cha watoto na kuwatupia Mbwa. Wewe umeitwa na Yesu Mbwa.
Naam! Aliwaita mbwa wanawake makahaba kama ilivyokuwa desturi ya Torati je baada ya kukamilisha kazi yake nini aliagiza?

Yesu hakuwahi kusema mtu wa kwanza kwenda peponi kati tajiri na masikini mcha Mungu na kahaba atakuwa nani?

Kazi yake aliimaliza tunaishi kwa neema tu sasa hivi, nyinyi mnatakiwa kuwa na watumwa wa ngono, mtu akibadiri dini muuweni

Unasema Mtume (saw) aliua wayahudi 700-800, huo ni uzandiki na uongo ulioshadidishwa na chuki binafsi, kinyune chake soma Injili uone jinsi Yesu alivyofundisha ukatili dhidi ya ubinadamu, soma Luka 19:27.
Unabisha Muhammad hakuuwa wayahudi 700-800 nikupe ushahidi?

Kuweka watumwa wa ngono;, huo nao ni uongo na uzandiki wa kihuni na kijinga ulioshadidishwa na chuki, Watu wanasema Yesu ndiye aliyeanzisha ushoga na wananukuu Maandiko ya Injili,----sasa wewe huoni huko kwenu na unakuja kumsingizia uongo mtume mtukufu Muhammad (saw), laana ya Mungu iwe juu yako.
Masikini hata koran huijui
 
Unabisha Muhammad hakuwa mbaguzi?
Hakuuwa wayahudi 700-800?
Hajawaambia muweke watumwa wa ngono?

Dini yq kiislamu inaruhusu haya yafuatayo
1. Child sex
2. Killing on innocents
3. Slavery womens
4. Moral incompatibility

Whoever changes hus religion, execute him
(Al-bujhaari 6922)
Muhammad amesema Women's are inferior to men in intelligence😝 huyu jamaa alikuwa lofa sana.

Anasema Ezra eti wayahudi wanamuita mwana wa Mungu hivi alikuwa na akili kweli?



Wewe mbona unatoa maneno ua Uongo hivyo??, Qur'an inapinga zinaa kabisa sasa iweje Mtume Muhammad (saw) aunge mkono utumwa wa ngono (sex slavery) ??, Mtume alikuja kuondoa uovu wa aina zote katika jamii na ndiyo maana watu wanapokuwa civilised huitwa Wastaarabu, neno "--- staarabu" maana yake kuwa kama muarabu, waarabu waliokuwa Wamesilimu na wameshika mafundisho ya Qur'an.

Hayo yote anayotapika dhidi ya Uislamu sio ya kweli, lakini inawezekana watu wabaya wakatumia jina la uislamu kutekekeza maovu kwa ajili ya nafsi zao kama jinsi baadhi ya wakristo wa Magharibi wanavyotetea Ushoga kwa kunukuu vifungu vya ijnjili (maneno ya yesu).

Katika Qur'an Mungu anamwambia Mtume (saw) kwamba; And indeed you are of a great moral character (68:4).

Wewe umenukuu nukuu za Uongo na unasema ni kutoka katika Qur'an eti, Al bujhaari 6922 !!!😯😯, wewe umevuta bangi ndipo ukaja kuandika hayo matapishi yako, pia unashikilia kuwa uislamu umeleta "sex slaves", je wewe ulikumbwa na sex slavery kutoka kwa waislamu?? au kuna ndugu yako aliyekumbwa na hiyo slavery kutoka kwa waislamu??!!.

Kinyume chake tunaona Sex slavery ipo kwa Wakristo, eti utaona masista wasiokuwa na waume na mapadri wasiokuwa na wake wakifanya kazi ya "DINI" 🤣🤣🤣, hiyo siyo sex slavery in action? ?? 🤣🤣.
 
Naam! Aliwaita mbwa wanawake makahaba kama ilivyokuwa desturi ya Torati je baada ya kukamilisha kazi yake nini aliagiza?

Yesu hakuwahi kusema mtu wa kwanza kwenda peponi kati tajiri na masikini mcha Mungu na kahaba atakuwa nani?

Kazi yake aliimaliza tunaishi kwa neema tu sasa hivi, nyinyi mnatakiwa kuwa na watumwa wa ngono, mtu akibadiri dini muuweni




Wewe huna lolote ujualo katika ukristo wako upo tu kama kizazi kibaya na cha zinaa (mwanaharamu) unayetafuta Ishara kamwe hutaiona. (Mathayo 16:4).


و إنك أنت زنيم 😤
 
Back
Top Bottom