Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Unabisha Muhammad hakuuwa wayahudi 700-800 nikupe ushahidi?
katika vita vya Crusades na vita vya inquisition vilivyoendeshwa na KANISA, unajua viliua watu wangapi??. Soma kwanza history yenu ndipo uvuke mipaka kuangalia historia ya wengine.
Vita vyote alivyopigana mtume (saw) vilikuwa ni vita vya kujilinda (self defensive war), yeye hakufuata mafundisho ya "ukipigwa kofi shavu la kushoto geuza na la kulia uzabwe pia"--- nonsense.🤣🤣