Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

Pia mpende adui yako

Kwahiyo la uadui halipingiki ila tuwapende
 
Ningependekeza uzi huu sasa ufike mwisho kwa faida ya maelewano ya wananchi wa Tanzania ambao tumekuwa nayo kwa miaka mingi. Hiz dini zilikuja na meli zisitufikishe sehemu ambayo tutakuja kujuta huko mbele. Tuagalie maslahi mapana ya vizazi vijavyo.
Huu ndo unafiki wetu watanzania. Tukishafika mahala jambo nyeti na muhimu la dini watu wansema ya moyoni basi tunajifanya eti tuacheni kuongelea mambo ya dini.
Dini ni mwenendo wa maisha hasa kwa sisi waislamu. Huwezi tenganisha dini yetu na maisha ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila usisahau, kwenye hayo maisha ya kawaida ambayo waislamu hawawezi kuyatenganisha na dini,
1. Kuna wasio waislamu humo humo
2. Kuna aina nyingine ya maisha ambayo wasio waislamu wanaishi
3. Kuna maeneo kuna mchanganyiko wa waislamu na wasio waislamu
 
Hoja sasa ni kuvunjwa kwa jengo au kuhamishwa kwa watumishi wa umma ?
Hilo jengo lilikuwa linajengwa na nani mpaka livunje?
Mvunjaji kwa nini ameamua kulivunja ?
Je jengo linakibali chochote cha ujenzi ?
 
Mkristo au mwislamu wa kweli hawezi kubeza dini au imani ya mtu mwingine!!

Kubeza imani ya mtu ni dhambi ya kimaadili na nikukosa ustaarabu!!

Hii dunia ni ya kwetu wote na wote tunayo haki ya kuishi na kuamini tupendavyo na vilevile kuheshimu maamuzi ya imani ya wenzetu!!

We have to coexist!!

Sio lazima uipende imani yangu, kabila langu, nchi yangu, wazazi wangu n.k. Wala mimi silazimiki kufanya hivyo kwako!

La msingi ni kuheshimiana na kuvumiliana ili tuishi kwa amani na mtangamano!!

Mfano walioonyesha viongozi wa Umoja wa Falame za Kiarabu kule Abudhabi na Baba Mtakatifu Francisco ni mfano bora wa kihistoria!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bora amesepa yule jamaa(Dr. Masoud), kwanza alkuwa na dharau na majigambo kibao
 
Wazushe wapigwe
 
Tena wanaubaguzi wa hali ya juu utakuta wanakusanyana wanaenda jifungia msikitini wanafanya discussion huko kama sio ubaguzi ni nn? Mbona vyuoni hukohatuoni makanisa yakajengwa? Kama umevunjwa well done

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa kwa waliosoma UDOM watakubaliana na ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Dodoma haina misikiti? Christian wanaabudu wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…