Tatizo ni pale watu wanapotumia kama ni substitute ya chakula au wanapotumia bila kuzingatia kiwango kinachoruhusiwaHalaf ieleweke wazi kuwa hakuna kinywaji amabacho sio sumu,kuanzia soda,juisi,maji pia n sumu,bia n sumu,konyagi n.k....only the dose can determine iwe sumu au iwe chakula......hata oxygen ikiwa nying n sumu na unakufa bcoz of oxygen toxicity.....mkiwa mnawaza madhara ya kila mnachoingiza tumboni walahi hamtakula chochote.....cha msng n kutumia right dose as indicated by producers
Duh kuumbe!?Hatari sana wao wanadhani energy drinks ndio zinaongeza nguvu za kiume.
Elimu ya nini mkuu...hebu fafanua hiyo energy ina madhara ganiNachoshauri mm watu wapewe elimu ili wafanye informed decision making
Hebu toeni hiyo basi...maake naona ni kama nanyi mnalalama tu ,_eti watu hawana elimu.Wana jina maarufu, wanaita "Booster".
Vinywaji hivi vinatembea sana. Na sidhani kama watumiaji wana uelewa sahihi juu ya matumizi ya vinywaji hivyo.
MO Energy inauzika sana kwa sababu ina ujazo Mkubwa kuliko Azam ijapokuwa bei ni moja.
Red Bull, Dragon na Kung Fu zenyewe bei ipo juu ila zinatembea.
Of course ...kile kinywaji kina maelekezo namna ya kukitumia...ukiyafata wala hakuna madharaTatizo ni pale watu wanapotumia kama ni substitute ya chakula au wanapotumia bila kuzingatia kiwango kinachoruhusiwa
Na wanawake wanaoinywa wanaongeza nguvu za wapi ?Hatari sana wao wanadhani energy drinks ndio zinaongeza nguvu za kiume.
Ndugu, pure water ndiyo yakoje? Nisaidie nielewe pia mkubwaMkuu nmeuliza kuhitaji kujua nlichosikiaga ili kufahamu kwa sababu lipo hapa jukwaani, Swala la kunywa hili lipo ndani ya sheria zangu kwamba huwa situmii kitu chochote zaida ya fresh juice na pure water pekee. Hizo taarabu zingine achia watu wa pwani, mbona hutendei vyema jina lako
Na wanawake wanaoinywa wanaongeza nguvu za wapi ?
Hata juu ya chupa wameandika, usinywe zaidi ya chupa moja kwa siku, vijana wanabugia hata tatu , usinywe wakati unaenda kulala, vijana wanabugia muda wote hata usiku, side effect iko kwenye mfumo wa moyo maana inasukuma zaidi dam kuliko kawaidaElimu ya nini mkuu...hebu fafanua hiyo energy ina madhara gani
Kuna dogo huko Nigeria aliwekewa pesa na kopo 8 za redbull akaambiwa amaliza mshiko ni wako.Hata juu ya chupa wameandika, usinywe zaidi ya chupa moja kwa siku, vijana wanabugia hata tatu , usinywe wakati unaenda kulala, vijana wanabugia muda wote hata usiku, side effect iko kwenye mfumo wa moyo maana inasukuma zaidi dam kuliko kawaida
Kuna dogo huko Nigeria aliwekewa pesa na kopo 10 za redbull akaambiwa amaliza mshiko ni wako.
Basi tamaa ya pesa ikichangiwa na sifa si ndiyo akanywa kwa pupa, alipomaliza chupa ya nane akaanguka hakuinuka tena.
Watu walipokuja kumuinua hali mbaya, wakaamua kumkimbiza hospitali napo hakufika. Akafia njiani
Jamaa kanywa energy drinks nane… Baada ya hapo ni habari… – Millardayo.comSource ya taarifa yako? Maana uandishi huu ni kama w kijiweni. Hauna source.
Basi pita hivi [emoji117]Ulimuuliza millardayo ametoa wapi? Ameweka source?