Unyanyasaji kwa wafanyakazi

Unyanyasaji kwa wafanyakazi

Joined
Jun 16, 2024
Posts
51
Reaction score
63
serikali ingeweka mikakati ya kuzifuatilia taasisi binafsi hasa za afya ambazo zinafanya unyanyasaji kwa kutokuwalipa wafanyakazi mishahara yao kwa wakati, kuwalipa nusu nusu na wakati mwingine kutokulipwa kabisa. Nawakati mwingine ukifuatilia sana haki yako unaweza kutishiwa kufukuzwa kazi.....kuwe na utaratibu wa hizi taasisi kukaguliwa mara kwa mara kama wanafanya malipo kwa wafanyakazi wao maana hii sasa imekuwa ni tabia na tunaelewa kabisa ni kinyume na sheria kumfanyisha mtu kazi pasipo kumlipa.......picha hiyo hapo inaonyesha maongezi kati yangu na rafiki yangu ambaye yeye pia ni muhanga...nakama wanashindwa kulipa wafanyakazi basi wazifunge taasisi zao
1000247344.jpg
 
sijawahi ku experience hiki kitu lakini na wao kwanini wakubali kufanyakazi bila kulipwa?, mwezi unaisha haujalipwa bado unaendelea kufanyakazi ili iweje
 
sijawahi ku experience hiki kitu lakini na wao kwanini wakubali kufanyakazi bila kulipwa?, mwezi unaisha haujalipwa bado unaendelea kufanyakazi ili iweje

Nashangaa na mie Dear, hapo ni kuogopa kuonekana Jobless, Lol
Kuna sehemu nilipata kazi ila Tempo, tatizo ni malipo, wee mbona nilikimbia mapema sanaa, 😂😂😂😂
 
Nashangaa na mie Dear, hapo ni kuogopa kuonekana Jobless, Lol
Kuna sehemu nilipata kazi ila Tempo, tatizo ni malipo, wee mbona nilikimbia mapema sanaa, 😂😂😂😂
mi mambo ya kufanya jambo huku naumia siwezi kabisa, nikitulia sehemu basi kuna kitu nakipata tofauti na hapo huwa inabaki ile "alikuepo mtu anaitwa flani alikua hivi na hivi"😆😆
 
Nashangaa na mie Dear, hapo ni kuogopa kuonekana Jobless, Lol
Kuna sehemu nilipata kazi ila Tempo, tatizo ni malipo, wee mbona nilikimbia mapema sanaa, 😂😂😂😂
Mi nlishawahi kulipwa 4000 kwa shift halaf zipo mbili tu kwa wiki mbona sikumaliza hata mwezi wenyew
 
Back
Top Bottom