Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,810
- 218,467
Hapa ndio mahali ambapo Nchi yetu na siasa zetu zilipofikia.
Tunamshukuru Mungu kwa kumlinda Mh Ibra dhidi ya wahalifu wanaolindwa ambao walimvamia alipotoka kwenye mgahawa kuelekea nyumbani kwake .
Mungu ibariki Chadema
=====
Ibrahim John Mwampwani diwani wa kata ya Isyesye Jijini Mbeya, amevamiwa saa nne na watu wanne wenye Mapanga na kukatwa sehemu za kichwani. Ameshonwa nyuzi 6, Alikuwa anatoka kwenye Shughuli zake za biashara.