rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,548
- 6,631
Sasa mtu kavamiwa na vibaka au wezi/majambazi(Kama watu wengine wanavyovamiwa)ambao hata yeye mwenyewe hajawajua. Sasa uchunguzi unaoutaka mtoa mada ni upi? Au taarifa haijajitosheleza! Au mtoa uzi unawajua waliomvamia diwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app