Ukiunganisha kauli za viongozi za kutaka kuwapoteza wapinzania jibu ni NDIOOOOKwa hiyo hapo kina nani ndo wanahusika? CCM?
Ukiunganisha kauli za viongozi za kutaka kuwapoteza wapinzania jibu ni NDIOOOOKwa hiyo hapo kina nani ndo wanahusika? CCM?
Hawa hapa. Ni utekelezaji wa agizo la viongozi wa UVCCM.Kwa hiyo hapo kina nani ndo wanahusika? CCM?
Nimekuelewa mkuuHivi nyie kutwa mnalialia mitandaoni nyie hamjui madiwani wa CCM wanapoishi na maduka yanayouza mapanga!!? Fvckng
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu atamponya kamanda tunaendelea kijaza listi ya ushahidiView attachment 1348383
Hapa ndio mahali ambapo Nchi yetu na siasa zetu zilipofikia.
Tunamshukuru Mungu kwa kumlinda Mh Ibra dhidi ya wahalifu wanaolindwa ambao walimvamia alipotoka kwenye mgahawa kuelekea nyumbani kwake .
Mungu ibariki Chadema
Umeambiwa hivyo?amevamiwa na kupigwa panga kwa sababu ni diwani wa Chadema , hilo ndio kosa lake
amevamiwa na kupigwa panga kwa sababu ni diwani wa Chadema , hilo ndio kosa lake
Hakuna mwanachadema mwenye njaa ya kuiba au tabia mbaya za kufunaniwa hizo ni kwa wana ccm na wahuni wengine.immune kwa wanasiasa wa upinzani..
Hata wakifumaniwa na wake za watu ama kuiba wakapigwa ama kuvamiwa na majambazi inakuwa ni ccm wamehusika...
Ni kama before vyama vingi haya mambo yalikuwa hayapo.
Tuweni na ushahidi before politicizing kila kitu.
Vinginevyo tuelekeze nguvu kwenye tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwenyekiti wetu mbowe amezaa na mbunge wa viti maalum huku ana ndoa na binti wa mtei, kweli chadema hakuna wahuniHakuna mwanachadema mwenye njaa ya kuiba au tabia mbaya za kufunaniwa hizo ni kwa wana ccm na wahuni wengine.
Weka ushahidi , mimi naweka huu wa mwandishi wa wa barua ya serikali kuionya Marekanimwenyekiti wetu mbowe amezaa na mbunge wa viti maalum huku ana ndoa na binti wa mtei, kweli chadema hakuna wahuni
Hapana, mimi napendekeza itumike kanuni ya jino kwa jino.Hii taarifa inatakiwa "IPELEKWE HARAKA SANA" kwa Mike Pompeo pamoja na Ubalozi wa Marekani na EU (Pamoja na Magazeti Ya Udaku Ya Ulaya).
Yaani mhuni huyu anapata wapi moral authority ya kuwakoromea Wamarekani?Weka ushahidi , mimi naweka huu wa mwandishi wa wa barua ya serikali kuionya Marekani
Wewe mbona mke wa mtu umezaa na Chakubanga na yule ni mume wa mtu hii unailezaje? Au ulitaka na Mbowe akutundike mimba na wewe, maana wadada wa Lumumba hamuishi kumtaja Mbowe.mwenyekiti wetu mbowe amezaa na mbunge wa viti maalum huku ana ndoa na binti wa mtei, kweli chadema hakuna wahuni