Unusual cloud formation


hahahah anamatatizo kwa kweli...
na hao waliomkabidhi mali zao nawaonea huruma..
kwa kweli kuna vituko sana kipande hiyo ya dunia..


Hivi si kuna mmoja kafungwa ajili ya dini yake..
lakini huyu ilikuwa si kihama bali kulala na watotot
wadogo pamoja na mke wa kijana wake kwa madai kwamba
Mungu alimuonyesha njia .. dahhhhhhh
si vitu vya kucheka kwa kweli ila hawa watu wana
matatizo ya akili...
 
Reactions: BAK
afu nahisi umechoka kama vp malizia usingizi, acha ku google picha, unatudanganya badala kuleta maskills ya ukweli
 
haya ngoja nitulie, nione hayo maujanja yako ya kugoogle picha
 
afu nahisi umechoka kama vp malizia usingizi, acha ku google picha, unatudanganya badala kuleta maskills ya ukweli

asilimi kubwa ya picha hapa JF zinatolewa wapi??

haya ngoja nitulie, nione hayo maujanja yako ya kugoogle picha

dahhh haya bana
Kama kweli unataka kujua
hiyo picha nimeitoa wapi waweza kuipata..
si lazima kila kitu utafuniwe..
usiku mwema...
 
HALI ISIYO YA KAWAIDA: Manyunyu ya mvua yaliyoanza jana jioni hadi kufikia leo ahsubui jijini DSM ni kiashiria cha mabadiliko ya mfumo wa hali ya hewa....
 
HALI ISIYO YA KAWAIDA: Manyunyu ya mvua yaliyoanza jana jioni hadi kufikia leo ahsubui jijini DSM ni kiashiria cha mabadiliko ya mfumo wa hali ya hewa....
MkuuLabda ni hii global warming ..Sehemu nyingine unapata Four seasons kwa siku moja...
 
Nilivyoziona hizo picha nikakumbuka hii picha nilipiga May 2010...mawing yalikuwa na shape ya ajabu ajabu lakini sio kama hiyo picha ya AD.

 
Mitaa hiyo ni giza kinene,kama u karibu lazima ujichimbie kwenye handaki.
 
AD umeyaona hayo au ni photoshop?

Nilidhani ni moshi wa viwanda vyetu vya uswahilini!
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…