AD si unamkumbuka yule Babu mtabiri wa Kiama? Alisema Kiama kitaanzia huko kwenu ndio maana unaona hiyo unusual formation of clouds na kiama kitakapokuwa kinakaribia (October 21st, 2011) mawingu yatabadilika rangi na kuwa meusiiiiiii na jua litapotea kabisa hivyo mchana hautakuwa na tofauti na usiku hahahahahaha lol!
hahahahahahah lohhh
Jamni naona we na SHERRIF ARPAIO
mnafanya kazi nzuri sana ya kunitisha yaani we
hata na terehe umenipa hahahah lol...
naisondoki tutabanana hapa hapa hahahahah lol
pande hizo hizo lakini chini chini tuuu...
We banana hapo hapo lakini magharika ya kiama yakianza kufanya mavitus yake utayakumbuka maneno ya BaK
Hilo muhimu sana AD, tuombe Mungu labda yule Babu mpenda kiama anaweza kuwa amekosea tena kama alivyokosea May 21st, 2011
Kabisa dear ..
labda hajakosea ..
labda katabiri kihama chake mwenyewe
who knows...... kwa raha zake kwa kweli..
Binafsi namcheka kutu .......... siku yangu naamini kabisa siijui..
na yeye hata kaa aijue no matter what... lolz