Loveeness78
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 280
- 294
Umeumia sana! Maneno mengi hayavunji mfupa. Wewe ndio unaejijua vyema. Utatamba kuuzidi hata ukoo wangu wote pesa, ila haisaidii. Kama una pesa kweli hungekuwa na maumivu kuja kujimwaga hapa kwa JF kuyatuliza walau kidogo baada ya kuachwa.Nitafute hela mara ngapi mkuu ?! Nimeshatafuta hela, na nimeshaoa miakaa kadhaa iliyopita and my article doesnt sound lile "nalalamika"
Ila loveness78 unaposema nitafute hela naingiwa na shauku right ungepata kunijua kialisia ili unilinganishe na baba yako plus mume wako oooh huna mume, pole ok plus madanga yako yote, ujumlishe vijisenti vyao wote combined against me alone, afu tuone je bado ungeniambia "nitafute hela" ?! Yani unadhani wote hapa jf ni kama viboyfrend vyenu visivyo hata na nauli ya kuwapa baada ya kuwala uroda ?!.
Ni vyema ukatafuta pesa mkuu, hautaambiwa tena hayo mambo ya Mr Right, kweli nakuambia.