Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,404
- 5,527
Bado mkuu, ila matokeo yangu yanaonesha yametumwa tayari nacte ila hawajaverifyAVN umepata?
Bado mkuu, ila matokeo yangu yanaonesha yametumwa tayari nacte ila hawajaverifyAVN umepata?
Kwahiyo tarehe ipi ni sahihi?Hii ndio sahihi, ile ya kwanza iliahirishwa, maana ya kwanza inasema maombi ya vyuo yalianza trh31/08 lkn badala yake yakaanza trh 26/08 kulingana na hii ratiba ya sasa
Io tareh 12 ndio sahihiHiyo ratiba mbona ipo tofauti na yangu yangu inasema majina yanatangazwa tare 9/10 Ila yako inasema tare 12/10 which is whichView attachment 1584102
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu naona wameondoa usumbufu wa majina, maana ile show ya PDF la MB 7 mpaka kuona jina lako sio kitoto.Wale wazee wa HESLBView attachment 1585808
Mambo gan?Mwaka huu naona wameondoa usumbufu wa majina, maana ile show ya PDF la MB 7 mpaka kuona jina lako sio kitoto.
Kwahyo mambo yataanza kesho.. Etty
Bado mkuu, ila matokeo yangu yanaonesha yametumwa tayari nacte ila hawajaverify
Niko mbali sana, chuo wametuambia Leo nacte wamepokea matokeo yetu but mpaka kufika kesho kutwa tuanze kuomba AVNNenda ofisin.
Wakuu hivi kama maombi ya mkopo ulioomba HESLB hayana Mapungu yoyote (Hayahitaji marekebisho) utajuaje?Niko mbali sana, chuo wametuambia Leo nacte wamepokea matokeo yetu but mpaka kufika kesho kutwa tuanze kuomba AVN
Soma tangazo lao vizuri ulieelewe..wamesema utaingia katika account yako kama ulikosea kujaza utakuta ujumbe.Wakuu hivi kama maombi ya mkopo ulioomba HESLB hayana Mapungu yoyote (Hayahitaji marekebisho) utajuaje?
Mwaka huu naona wameondoa usumbufu wa majina, maana ile show ya PDF la MB 7 mpaka kuona jina lako sio kitoto.
Kwahyo mambo yataanza kesho.. Etty
Kwahyo ninaweza kuingia sasa nikacheck status yangu.. Au mpaka SAA ngapi..?Kweli wamerahisisha sana,naam mkuu wataanza leo.
Kwahyo ninaweza kuingia sasa nikacheck status yangu.. Au mpaka SAA ngapi..?
Hata mm nimeingia sijaona chochoteNilijaribu kuingia muda fulani lakini sikuona mabadiliko
Ukikuta hamna chochote ujue maombi yako good.Hata mm nimeingia sijaona chochote
Kwa serikali nampa asilimia UDOM.Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari hasa hasa anapenda sana MUHAS akilala akiamka ananiuliza mjomba ntapata kweli chuo namuambia asijali, ufaulu wake ni kama ifuatavyo
O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B
Basic Mathematics....C
Amesoma Diploma ya Clinical Medicine amepata GPA ya 4.1/5.0
Na vyuo nilivyomfanyia application mpaka sasa ni vyuo 5, (UDOM (MD), UDSM(MD), MUHAS (MD), KCMC (MD), NA ST FRSNCIS CHA MOROGORO (MD) ),
Naombeni kujua kwa ufaulu huo je anaweza kuchaguliwa kusoma Udaktari kwa mwaka huu wa masomo 2020/21 katika vyuo vya serikali sana sana MUHAS??????
karibuni.