TEKU watu wanaichukulia simple lakini inatoa products nzuri zaidi hata ya UDSM na vyuo vingine haswa kwenye kada ya UalimuAnapata vyuo kama TEKU,udom na vingine vya aina hiyo
hawezi pata kivipi watu tupo udsm na kozi nzuri tu nilipata E ya adv Math.usiwe na roho ya hivo ndugu haya maisha nakushauri usome vizuri taratibu zilizowekwa.Amani iwe juu yakoHAWEZI KUPATA. DEGREE lazima uwe na principal passes 2 yaani D mbili. Hata angekua na A moja na zingine E hawezi pata.
Anapata vyuo kama TEKU,udom na vingine vya aina hiyo
Hauko serious wee khaaaah.TEKU watu wanaichukulia simple lakini inatoa products nzuri zaidi hata ya UDSM na vyuo vingine haswa kwenye kada ya Ualimu
Unataka UKAMLEEEEMwambie aombe chuo cha CBE kwa mawasiliano zaidi nipigie kwa 0756936931
Aombe chuo kozi yoyote ile anapata, hata UDSMHabari!
Poleni na majukumu ya kila siku. Nina ndugu yangu amemaliza form 6 mwaka huu kama private candidate na amepata C ya historia, E ya kiswahili na E ya kiingereza.
Je, kwa matokeo haya anaweza pata university admission?
Maoni yenu tafadhali.
Udsm labda certificateAombe chuo kozi yoyote ile anapata, hata UDSM
Niko serious kuliko unavyo waza, kama chuo ni majengo tu hapo sina neno ila nimekwambia TEKU imekuwa ikizalisha walimu wazuri sana kuliko UDSM haswa kwa miaka ya nyuma labda nisijue leo na hili jambo siliongei kwa mihemko bali kwa kufuatilia nikiwa na sababu maalumu zilizo nisukuma kufuatilia jambo hili.Hauko serious wee khaaaah.
Mwaka gani?hawezi pata kivipi watu tupo udsm na kozi nzuri tu nilipata E ya adv Math.usiwe na roho ya hivo ndugu haya maisha nakushauri usome vizuri taratibu zilizowekwa.Amani iwe juu yako