batan
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 417
- 364
Mkuu Tz hatuna div 11 wala div 18 labda uko kambodiaKuna Chalii Yangu kaomba
Laws - UDSM, MZUMBE NA UDOM.
Form Six kapata Div 11.
Form four kapata Div. 18.
Je, Kuna matumaini hapo?
Mkuu Tz hatuna div 11 wala div 18 labda uko kambodiaKuna Chalii Yangu kaomba
Laws - UDSM, MZUMBE NA UDOM.
Form Six kapata Div 11.
Form four kapata Div. 18.
Je, Kuna matumaini hapo?
Mkuu Tz hatuna div 11 wala div 18 labda uko kambodia
Nime- Edit Mkuu.Mkuu Tz hatuna div 11 wala div 18 labda uko kambodia
, Makosa ya Kiufundi.
sure sure, Makosa ya Kiufundi.
tuombe Mungu atapata .. tena kama UDOM ni uhakikaNime- Edit Mkuu.
Kapata Division Two ya 11, Advance.
Division Two ya 18, O-Level.
Atapata Laws udsm, udom au mzumbe?
Amina mkuutuombe Mungu atapata .. tena kama UDOM ni uhakika
Ukikuta hamna chochote ujue maombi yako good.
Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari hasa hasa anapenda sana MUHAS akilala akiamka ananiuliza mjomba ntapata kweli chuo namuambia asijali, ufaulu wake ni kama ifuatavyo
O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B
Basic Mathematics....C
Amesoma Diploma ya Clinical Medicine amepata GPA ya 4.1/5.0
Na vyuo nilivyomfanyia application mpaka sasa ni vyuo 5, (UDOM (MD), UDSM(MD), MUHAS (MD), KCMC (MD), NA ST FRSNCIS CHA MOROGORO (MD) ),
Naombeni kujua kwa ufaulu huo je anaweza kuchaguliwa kusoma Udaktari kwa mwaka huu wa masomo 2020/21 katika vyuo vya serikali sana sana MUHAS??????
karibuni.
Duhh aiseee, kwaiyo hapo atofua tafu katika ushindani????Kwa vyuo vya private ni uhakika atapata Lakini kwa vyuo vya serikali huwa kuna ushindani sana hasa hasa kwa upande wa MD
Subiri kupata mkopo hapo.nimeingia kwenye account yangu nimekuta ipo ivyo hakuna sehemu ya kurekebisha je hapo naweza sema nimefanikiwa kufanya application vizuri na sasa naweza kusubili tu kupatiwa mkopo au watatoa majina ya watu tuliokosea kufanya application ?????
asante kwa taarifaSubiri kupata mkopo hapo.
Kutokana na tangazo LA bodi ya mkopo, ni kwamba wenye mapungufu watakuta comments kutoka bodiKuna wapo waliokuta tofauti??
uwa naomba usiku na mchana achaguliwe UDOM maana akisema achaguliwe MUHAS DAR nitampoteza aisee maana dar kumechangamka sana kwa mabinti kupoteaKwa serikali nampa asilimia UDOM.
Kwa private atapata vyote.
uwa naomba usiku na mchana achaguliwe UDOM maana akisema achaguliwe MUHAS DAR nitampoteza aisee maana dar kumechangamka sana kwa mabinti kupotea
kaka mambo yakienda vizuri, unitafute nikupokeeNiko mbali sana, chuo wametuambia Leo nacte wamepokea matokeo yetu but mpaka kufika kesho kutwa tuanze kuomba AVN
Hujakosea Dar napafahamu vizuri.uwa naomba usiku na mchana achaguliwe UDOM maana akisema achaguliwe MUHAS DAR nitampoteza aisee maana dar kumechangamka sana kwa mabinti kupotea
Duhh aiseee, kwaiyo hapo atofua tafu katika ushindani????