University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Utafanya watu wadondoke maana ukikosa round hii tena basi
nimeweka dawa za kupunguza presha pembeni mkuu utakuja kupata murder case
Najua Hili mnalopitia Mimi pia nililipitia ..
Inshallah mwenyezi Mungu atawajaaria mtapata

Chamsingi Mwekeni Mungu mbele

Nakumbuka nilisali had kilo zikashuka

Mungu atawasaidia wakuu
 
Kama Kuna mtu aliomba udsm atume screenshot ya kwnye my application pale, maana Kuna mtu kanambia ukikuta kwnye my application unaambiwa ureapply ujue ndo umekosa hata km selection bado, sasa sijui Ni kwel
Ilaaa wameniandikia hv katika account yangu,round 3 ambayo wanatangaza trh10.Imeandika dear applicant,MNMA wishes to inform you that you have been provisionally selected for 3round admission cycle at the academy.however,there same technical challenges with our system that we are sorting out.names will be announced there after and upon verification by TCU.we highly appreciate for your patience.
 
Kama Target n MD kwanini asingeomba CM!?
Duh yaani acha tu alikuwa hajui...uzuri nilimshauri tatizo hawa ndugu zetu ukiwaambia kitu hawaelewi... Mi nilimwambia asiombe MD kupata ishu hakunisikia...kuna dogo mwingine alisoma CBN ana div 2 round ya kwanza aliomba Nursing akapata..yeye kaomba MD round zote amekataliwa now round ya 3 ndo ameomba pharmacy degree na diploma... Ameshakata tamaa
 
Tar 10 kama tar 10
Screenshot_20201108-062856_Chrome.jpg
 
Hivi Bsc.family consumer and studies Apo SUA ikoje hii? Msaada wa kimawazo kwa anaeifaham hii
 
Back
Top Bottom