Ungependa kua mnyama ngani?

Ungependa kua mnyama ngani?

ha ha haa, bujibuji una mambo, yaani wee kutaga tu ndio unakotaka jamani!!!!!
 
wewe, wale wanatoa maziwa bila kuwajibishwa. Ngoja wafugaji waje.
Dadangu usichanganye kuku wa kisasa na ng'ombe wa kisasa,ng'ombe ni lazima apandwe,mi mwenyewe mtoto wa mfugaji.
 
Dadangu usichanganye kuku wa kisasa na ng'ombe wa kisasa,ng'ombe ni lazima apandwe,mi mwenyewe mtoto wa mfugaji.

haya mtoto wa mfugaji. Mwenzio najua kunywa maziwa tu. Sante.
 
Leo ni siku ya wanyama duniani! Kama tungeubwa wanyama ungependa kua mnyama gn? Na kwanini?

ningechagua mbwa dume,sababu wakiwa wanafanya mapenzi,anafaidi sana huyo dume,kama m2,katika wanyama wote mbwa akifanya kukiwa na m2 lazima huyo m2 ajisikie,awe na hamu,hasa wadada.
 
ahahahaah!huyo anaitwa honey badger au rattle na kwa kiswahili anaitwa NYEGERE,huyu kiumbe ana umbo dogo lakini balaa lake kama sheikh aliyelishwa kitimoto.Kama unakumbuka ile movie ya The GODS must be crazy aliuma tairi la ndege ndogo mpaka likapasuka,huyu mdudu ni mbishi zaidi ya CHADEMA,inasemekana hata chui ili amle ni lazima ajipange kisawasawa,mi mwenyewe ningependa kuwa yeye!

:bolt:
 
Mi n'ngekuwa Kitimoto, nisingeliwa na watu wengi duniani.. teh
 
Nyegere ni balaa! akiweka bifu na binadamu nasikia haliishi.....kuna kisa cha familia moja nilikisikia redioni baina ya nyegere na wanafamilia. Siku ya kwanza nyegere alizidiwa nguvu na hivyo kuamua kukimbilia porini, siku iliyofuata alirudi akaanzisha bifu upya na kuwafanya wanafamilia wamkimbe huku baadhi yao wakijeruhiwa. siku ya tatu Ngegere alirudi but hakukuta mtu, na hivyo kwa hasira aliaanza kumwaga vitu vya ndani; unga, mahindi na maharage.

ndio nyegere huyu. Kama mimi nilivyo, muziki wake ni noma tupu
 
ningependa kuwa komba.... Piga sana ulabu....
 
Back
Top Bottom