grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Junior Member paranawe inavyoonekana hata baba yako unamwita dogo kwa utovu wako wa heshima. Hata ambaye hujamuona na wala humfahamu vizuri kwako ni dogo. Jiangalie, kama huna hoja pisha wakubwa zako wajadili.Yawezekana ni kweli alikuwa nazo, isipokuwa ukumbuke saa aliyokupangia mungu ikifika, hakuna awezaye kukuongezea hata chembe ya dk.Hivyo dogo kubali yaishe!