mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
[h=6]HIVI KAMA UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE?.,.,., babu yako ndio alikuwa anataka kukata roho akakuita wewe ambaye ndiye mjukuu wake akakupa wosia huu hapa "mjukuu wangu kipenz mimi ninazo milioni 800 , na hakuna mtu mwingine anayejua nilipoziweka zaid yangu, ila nataka nikupe wewe hizo pesa zoote kama urithi wako, hizo pesa nimeziweka kwenye, kwenye,kwenye, zipo kwenye, kwenye,,,.,.,., HALAFU GHAFLA ANAKUFA KABLA HAJAMALIZIA ALIPOWEKA PESA.. JE KAMA NI WEWE UTAFANYAJE?[/h]