ungekuwa wewe ungefanyaje/

mtamanyali

JF-Expert Member
Dec 6, 2011
1,161
613
[h=6]HIVI KAMA UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE?.,.,., babu yako ndio alikuwa anataka kukata roho akakuita wewe ambaye ndiye mjukuu wake akakupa wosia huu hapa "mjukuu wangu kipenz mimi ninazo milioni 800 , na hakuna mtu mwingine anayejua nilipoziweka zaid yangu, ila nataka nikupe wewe hizo pesa zoote kama urithi wako, hizo pesa nimeziweka kwenye, kwenye,kwenye, zipo kwenye, kwenye,,,.,.,., HALAFU GHAFLA ANAKUFA KABLA HAJAMALIZIA ALIPOWEKA PESA.. JE KAMA NI WEWE UTAFANYAJE?[/h]
 
HIVI KAMA UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE?.,.,., babu yako ndio alikuwa anataka kukata roho akakuita wewe ambaye ndiye mjukuu wake akakupa wosia huu hapa "mjukuu wangu kipenz mimi ninazo milioni 800 , na hakuna mtu mwingine anayejua nilipoziweka zaid yangu, ila nataka nikupe wewe hizo pesa zoote kama urithi wako, hizo pesa nimeziweka kwenye, kwenye,kwenye, zipo kwenye, kwenye,,,.,.,., HALAFU GHAFLA ANAKUFA KABLA HAJAMALIZIA ALIPOWEKA PESA.. JE KAMA NI WEWE UTAFANYAJE?
Huyo babu fiksi tu hawezi kuwa na hela zote hizo halafu aweke siri mpaka nusukaputi ndio aseme. Bosheni tu huyo hana lolote.
 
Huyo babu fiksi tu hawezi kuwa na hela zote hizo halafu aweke siri mpaka nusukaputi ndio aseme. Bosheni tu huyo hana lolote.

Yawezekana ni kweli alikuwa nazo, isipokuwa ukumbuke saa aliyokupangia mungu ikifika, hakuna awezaye kukuongezea hata chembe ya dk.Hivyo dogo kubali yaishe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom