Juzi police kawakamata jamaa wawili akaanza kuwauliza maswali kila mmoja,
Mazungumzo yao yalikua hivi;
Police;unafanya kazi wapi?
Jamaa wa kwanza;sifanyi kazi popote!
sijaajiriwa.
Police; na wewe?
Jamaa wa pili;mimi ni msaidizi wake!
Je ungekua wewe ndo police ungechukua hatua gani????????
Mazungumzo yao yalikua hivi;
Police;unafanya kazi wapi?
Jamaa wa kwanza;sifanyi kazi popote!
sijaajiriwa.
Police; na wewe?
Jamaa wa pili;mimi ni msaidizi wake!
Je ungekua wewe ndo police ungechukua hatua gani????????