Ungefanyaje????????????????

MR. ABLE

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
1,480
944
Juzi police kawakamata jamaa wawili akaanza kuwauliza maswali kila mmoja,
Mazungumzo yao yalikua hivi;

Police;unafanya kazi wapi?

Jamaa wa kwanza;sifanyi kazi popote!
sijaajiriwa.

Police; na wewe?

Jamaa wa pili;mimi ni msaidizi wake!


Je ungekua wewe ndo police ungechukua hatua gani????????
 
Back
Top Bottom