Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 169
Ndg kama mzazi wako wa kike anajibua kama hawa mabinti wa siku hizi hivi unaweza mwambia nini? Maana mimi huwa nakereka sana niwaonapo bibi mzima eti anajibua na huu mkorogo nakuwa kama papai. Jamani wapeni ushauri wazazi wenu wenye tabia hii haipendezi. Maana anakuwa kama sanamu la michelini. Pole wenye wazazi wa tabia hii.