NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,747
Hii ni serious
Wahusika chukueni hatua haraka sana kabla Hali haijawa mbaya.
Kama mtoto wako wa kike yupo hostel nakuomba mzazi/ mlezi tembelea hizo hostel ujionee Hali halisi na namna mtoto wako anapoishi.
Najua mnaambiwa mlipe pesa ya hostel na wazazi mnalipa lakini mazingira hamjayaona.
Mazingira yapo hivi.
1) Watoto wa kike wanaishi nyumba moja na watoto wa kiume yaani imechukuliwa nyumba kubwa yenye uzio/fence na Kisha kuchanganywa watoto wa kike na wakiume.
2) Hii hostel haina ulinzi wowote hii ni hatari sana wahuni watakapo vamia hakika usalama wao mdogo sana.
Wakaguzi mnaokagua hostels za vyuo hii hostel ipo mkoa wa Dodoma kata kizota mtaa wa FM.
Naomba ichukuliwe hatua ya haraka sana maana watoto wa certificate hawana walijualo wengi wao wametoka mikoani na wao wanashangaa sana kukuta mazingira ya hostel wanachanganywa na wavulana.
Kwa kua tayali walishalipa pesa/fedha imekua Ni ngumu kwao kujinasua katika mtego huo.
Kama wahusika msipofuatilia hili tutegemee kuvunjika kwa ndoto za watoto wanaosomeshwa na wakulima kwa kutiwa MIMBA nk.
Wahusika chukueni hatua haraka sana kabla Hali haijawa mbaya.
Kama mtoto wako wa kike yupo hostel nakuomba mzazi/ mlezi tembelea hizo hostel ujionee Hali halisi na namna mtoto wako anapoishi.
Najua mnaambiwa mlipe pesa ya hostel na wazazi mnalipa lakini mazingira hamjayaona.
Mazingira yapo hivi.
1) Watoto wa kike wanaishi nyumba moja na watoto wa kiume yaani imechukuliwa nyumba kubwa yenye uzio/fence na Kisha kuchanganywa watoto wa kike na wakiume.
2) Hii hostel haina ulinzi wowote hii ni hatari sana wahuni watakapo vamia hakika usalama wao mdogo sana.
Wakaguzi mnaokagua hostels za vyuo hii hostel ipo mkoa wa Dodoma kata kizota mtaa wa FM.
Naomba ichukuliwe hatua ya haraka sana maana watoto wa certificate hawana walijualo wengi wao wametoka mikoani na wao wanashangaa sana kukuta mazingira ya hostel wanachanganywa na wavulana.
Kwa kua tayali walishalipa pesa/fedha imekua Ni ngumu kwao kujinasua katika mtego huo.
Kama wahusika msipofuatilia hili tutegemee kuvunjika kwa ndoto za watoto wanaosomeshwa na wakulima kwa kutiwa MIMBA nk.