illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,121
- Thread starter
- #21
Umeonaee!!! ndo mana tunamdhibiti.Na huyu mjanja mjanja anaweza kuinunua familia yako yote mkawe mapambo kwenye chumba cha mlinzi getini kwake!
Umeonaee!!! ndo mana tunamdhibiti.Na huyu mjanja mjanja anaweza kuinunua familia yako yote mkawe mapambo kwenye chumba cha mlinzi getini kwake!
Huyu jamaa alitakakumiliki ufukwe wa bahari ya coco na taratibu zote alikuwa amezimaliza Kiujanja ujanja, tukampokonya
Huyu jamaa alitaka kununua timu ya yanga aimiliki kiujanja ujanja, tukamzuia
Huyu jamaa alikuwa anamiliki plaza moja kubwa akashindwa kulipa kodi tukairudisha ikawa mali ya umma
Jamaa huyu huyu ametajwa kwenye orodha ya wanaojihusisha na madawa kulevya.
Huyu jamaa ni mjanja mjanja ofisini kwake wamekamatwa wakazi haramu zaidi ya mia
Huyu jamaa ni mjanja mjanja.
Wajanja wajanja wote mnakaribishwa kuja kutoa mapovu
Huyu jamaa alitakakumiliki ufukwe wa bahari ya coco na taratibu zote alikuwa amezimaliza Kiujanja ujanja, tukampokonya
Huyu jamaa alitaka kununua timu ya yanga aimiliki kiujanja ujanja, tukamzuia
Huyu jamaa alikuwa anamiliki plaza moja kubwa akashindwa kulipa kodi tukairudisha ikawa mali ya umma
Jamaa huyu huyu ametajwa kwenye orodha ya wanaojihusisha na madawa kulevya.
Huyu jamaa ni mjanja mjanja ofisini kwake wamekamatwa wakazi haramu zaidi ya mia
Huyu jamaa ni mjanja mjanja.
Wajanja wajanja wote mnakaribishwa kuja kutoa mapovu
Inaweza ikawa yalioelezwa na mleta post yakawa na ukweli 'kiduchu' sana.Yaweza kuwa unayosema yakawa na ukweli. Lakini ya mtoa mada yote ni ya uongo?