Understand that speacial lady you have fallen for....

Understand that speacial lady you have fallen for....

Likewise... likewise Brother, Ashadii is proud that you are my bro, Usishangae kulelewa pamoja it bound to make us think kimoja in most cases..
Thanx my lovely dada,God bless u!
 
Mwenzangu hata mimi, mimi ni mmoja wa wale ladies proud to be a woman thus expects to be treated so!

baby hakuna kitu nakipenda kwa mwanamke kama mwanamke mwenyewe kujijua kwamba ni mwanamke, na yupo na mwanaume....yaani hapo tu basi...mengine yote yanakuwaga mteremko...
 
baby hakuna kitu nakipenda kwa mwanamke kama mwanamke mwenyewe kujijua kwamba ni mwanamke, na yupo na mwanaume....yaani hapo tu basi...mengine yote yanakuwaga mteremko...


Sweetie... why do you think we are compactable???
Sababu naelewa nafasi yangu na naipenda,
unaelewa nafasi yangu na wanichukulia hivyo,
unaelewa nafasi yako na waipenda,
naelewa nafasi yako na naichukulia hivyo...
Why pasiwe na mteremko??
zaidi saana kujikwa tu kwa speed yetu as a result of compactiblity...lol
 
Sweetie... why do you think we are compactable???
Sababu naelewa nafasi yangu na naipenda,
unaelewa nafasi yangu na wanichukulia hivyo,
unaelewa nafasi yako na waipenda,
naelewa nafasi yako na naichukulia hivyo...
Why pasiwe na mteremko??
zaidi saana kujikwa tu kwa speed yetu as a result of compactiblity...lol


exactly my line of thinking hun,

swali ni kwamba kwa nini wengine wanashindwa kujitambua?
 
exactly my line of thinking hun,

swali ni kwamba kwa nini wengine wanashindwa kujitambua?


We do not choose who we are or our circumstances Sweetie
ndio mimi ni mwanamke na naelewa wachache saana wana utambuzi huo,
kingine mshukuru my mom Sweetie she is a srong woman with qualities ambazo
mpaka leo bado ana uwezo wa kuni amaze and am already grown up!
Na namshukuru Mungu i have made a lot of mistakes katika maisha yangu..
I never regret... i learn from them... Mimi kuku appreciate wewe is a result
of having a man opposite from you huko nyuma... Umenipata dearest?
 
kwann lawama ni kwa ladys tu? even guys ndio most funua kichwa katika hizo age ,za 18-30 .. binafsi wanawake wanakua na problem katika hiyo age ,but wanakua na haya, na inafika time wanajua matatizo yao wengine na kuchange ,lakin resorn ya hayo n man ambaye anakua ana mshawishi maovu, then kama uta olewa girl mara nying una keep yr respect to yr belove lakin wao never keep it,unadhan wanawake wata tolerate ? never
 
kwann lawama ni kwa ladys tu? even guys ndio most funua kichwa katika hizo age ,za 18-30 .. binafsi wanawake wanakua na problem katika hiyo age ,but wanakua na haya, na inafika time wanajua matatizo yao wengine na kuchange ,lakin resorn ya hayo n man ambaye anakua ana mshawishi maovu, then kama uta olewa girl mara nying una keep yr respect to yr belove lakin wao never keep it,unadhan wanawake wata tolerate ? never


Dah! Wahida dear kwanini umechukulia kua ni lawama??
Sio lawama this is the reality as i see it na ladies wengi wamekubali
ingawa YES wapo walokataa.. and please take in mind kua nazungumzia
ladies hawajawahi olewa, na pia nakubaliana kabisa na hio nilo bold but
unfortunately swali lako sijaelewa...


unadhan wanawake wata tolerate ? -If what happens???
 
kwann lawama ni kwa ladys tu? even guys ndio most funua kichwa katika hizo age ,za 18-30 .. binafsi wanawake wanakua na problem katika hiyo age ,but wanakua na haya, na inafika time wanajua matatizo yao wengine na kuchange ,lakin resorn ya hayo n man ambaye anakua ana mshawishi maovu, then kama uta olewa girl mara nying una keep yr respect to yr belove lakin wao never keep it,unadhan wanawake wata tolerate ? never

calm down wahida....
 

Tips za kumuelewa that Special Single lady you have fallen for…
:A S-heart-2:

Habari wana JF/GT... Naamini all is well na going on in the same pace...

Uelewa wangu ni kwamba hata tufanye vipi au tuchukue masomo hadi PHD kusoma ama kuelewa your opposite sex, ni vigumu saana kwa wanawake kuelewa akili na mawazo ya kaka zetu zaidi ya njia ya presumption tu… na vivyo hivyo kwa wanaume dhidi ya wanawake.. Kwa Yule in need na kutapatapa kuweza kuelewana nimetoa tips kwa kina kaka ni jinsi gani ya kuwaelewa hao single ladies; ambazo nafahamu tokana na observation za rafiki, ndugu na jamaa ambao ni wadada… hii yaweza walau kukusaidia kumuelewa kidogo dada ulomwangukia…

14 – 18 years..

Hapa maelezo sio marefu kwa ufupi, hii age nawaomba kaka/baba zetu muache kuwavua nguo za ndani hawa watoto… pamoja na kusema isha kua common kweli haipendezi… enways hii sasa topic nyingine…

19 – 25 years

Anajiona kua kawa mtu mzima na hutaka saana awe treated kama mdada..She is half wild, minimally exposed, akiamini kua yeye ni yeye.. hujiachia saana, uvumilivu katika mahusiano sio saana after all wanaomtongoza na kum admire ni wengi saana, anajiona na kuamini kwa dhati ni mzuri hata kama sio (ila hukereka na kiungo kimoja wapo mwilini i.e pua, mdomo, boobs, wowowo, miguu, n.k). Katika love kwake kila kitu ni black and white… Hujiamini pia katika mahusiano na huamini sababu tu analala na the guy – hawezi dhubutu kumuacha yeye (the lady) au kumchanganya na wengine… Na la muhimu huamini huwezi ingia katika mahusiano kama hujapenda… Hii ndo period ambayo wadada tunakua most naïve… Stage hii mwanaume akimuangalia anajua kapendwa…

26 – 32 years

Fully exposed, fully discovered, fully endowed… almost perfect (in attitude as well as physical make up)… In this stage she is HOT! Yuko more calculated, katika mahusiano, mapenzi si lazima but sex muhimu saana.. she is independent (sometimes just pretending to be..).. anajua ni nini anataka, mpaka kafika hapa kaumizwa mara nyingi hivyo yuko makini na ana prefer kuingia mahusiano na a guy anaeonekana yupo serious in a relation na ni husband material.. hata akipenda sana wengi huogopa kuonesha mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake.. tokana na past experiences… Stage hii mwanaume akimuangalia anaamini anaangaliwa as a result of lust/tamaa…

33 – 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee… hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material… Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa…

39 years and onwards…

Every man walomzunguka may know she is single but very few want to approach her.. huyu yupo kwa ajili ya maisha yake binafsi, she has given up kupata life partner! Kwa wale wanaopenda /endekeza sex – one night stands ni kwa saaana… Stage hii mwanaume akionesha interest anaelewa deep down in her kua ni pa kupumulia (for the guy…) And this stage ni maarufu saaana kwa Serengeti Boys….

Note:

The above mtazamo ni wangu sio Universal na nime observe majority ndo naona na kuamini wako/tuko hivyo… zingatia imelenga kwa wadada ambao hawajawahi olewa kabisa…

Kina dada/mama nitaomba mchango wenu kama mnakubali au lah! Na kuongezea mtazamo wako/wenu… Kina kaka/baba naomba mchango wenu hasa kwa kuzingatia personal/friends experience wakati wa kututokea akina dada/mama wa rika tofauti…

NB: Off topic

Jamani I missed jamvini na wanafamilia wa MMU wooooote! Yaani almost niwe admitted hopitalini... (kidding..lol) Serious note: I really had missed you all in ways I thot not possible… Cku njema dears and want you to know Ashadii loves you all…


Ashadii (Fellow JF members.. Please notice the name change….)
Pamoja saana.



Kwani ina copy write aise nikopy na kupaste sehem
 
Kwani ina copy write aise nikopy na kupaste sehem



ha ha ha... Mr. R... you had to bring it up eeeh?
Thank you Bana... it seems imekufaaa....lol..

On a serious note, nimeandika mwenyewe hivyo kama
kuna mahala una paste inatakiwa kweli nijue... labda tu kama
for personal use...
 
ha ha ha... Mr. R... you had to bring it up eeeh?
Thank you Bana... it seems imekufaaa....lol..

On a serious note, nimeandika mwenyewe hivyo kama
kuna mahala una paste inatakiwa kweli nijue... labda tu kama
for personal use...

For personal use my dear and i wont use it agaist your wish or rule.
Just allow me to use it
hahahahahha Nimeibring up bana maana nimeona ni useful sana
 
For personal use my dear and i wont use it agaist your wish or rule.
Just allow me to use it
hahahahahha Nimeibring up bana maana nimeona ni useful sana



AshaDii is humbled you think so.... THANK YOU....
And itumie ipasavyo kwa mda mfupi ulete results...

Sasa wee age yako of interest ni ipi hapo juu??
 
AshaDii is humbled you think so.... THANK YOU....
And itumie ipasavyo kwa mda mfupi ulete results...

Sasa wee age yako of interest ni ipi hapo juu??

Thank you as you are so sweet and lovely
My interest is between the age of 19 to 25 and i think it will be ok to me

I will do that dear worry not and i will tell you exactly what will be the result
 
Thank you as you are so sweet and lovely
My interest is between the age of 19 to 25 and i think it will be ok to me

I will do that dear worry not and i will tell you exactly what will be the result


oh! THANKS for the compliment... appreciated saaana... And of course ina maana

bado upo age ya kuto oa eeeh? Maaana 19, huo wakati wa ku fall in love and divulge completely na life...
 
Age 18-25 wanawake wanakuwa juu vibaya, ukiwa na inferiority huwezi kuwasemesha kabisa kwao kila kitu wanadeserve. Hapo wanaume wa hiyo gae wanahangaika na life na jinsi ya kuwapata. Maana stori hazipandi maana mwanamke masimulizi yake ni ndoto tu kama na boifriend yupo ulaya, ana gari ana simu kali na ana kazi poa. Akifika 26 anatambua mwanaume ni yupi ndipo hapo anaanza hundting hata wewe aliyekusahahu anaanza kukutafuta wakati umri huo wanaume kichwa kikubwa ndio ameanza kuwa stable kimaisha. Sasa basi kwa kuwa wanaume wengi wanakosa vitu fresh wakati wao wakiwa na umri kati ya 18-25 ndipo anaanza kufikiri kuwa wahitaji pesa na ndoto nyingi ili kumpata binti mdogo, ndipo afikapo umri wa 40 mwanaume anarudi kwenye miaka 18 na mwanamke anakuwa mtu mzima na mama wa nyumbani. Wanawake mjitahidi kuwaeleimisha wadogo zenu maana wanaingia kwenye ndoa na vidonda walivyopata kati ya miaka 18-25 kwa kuishi maisha ya kufikirika. Ni mtazamo tu nawasilisha.
 
oh! THANKS for the compliment... appreciated saaana... And of course ina maana

bado upo age ya kuto oa eeeh? Maaana 19, huo wakati wa ku fall in love and divulge completely na life...

Yeah though not real but this will be my great chance to see the reality and meaning of love
Thank you and you are warmly welcome to advice, challenge
 

Tips za kumuelewa that Special Single lady you have fallen for…
:A S-heart-2:

Habari wana JF/GT... Naamini all is well na going on in the same pace...

Uelewa wangu ni kwamba hata tufanye vipi au tuchukue masomo hadi PHD kusoma ama kuelewa your opposite sex, ni vigumu saana kwa wanawake kuelewa akili na mawazo ya kaka zetu zaidi ya njia ya presumption tu… na vivyo hivyo kwa wanaume dhidi ya wanawake.. Kwa Yule in need na kutapatapa kuweza kuelewana nimetoa tips kwa kina kaka ni jinsi gani ya kuwaelewa hao single ladies; ambazo nafahamu tokana na observation za rafiki, ndugu na jamaa ambao ni wadada… hii yaweza walau kukusaidia kumuelewa kidogo dada ulomwangukia…

14 – 18 years..

Hapa maelezo sio marefu kwa ufupi, hii age nawaomba kaka/baba zetu muache kuwavua nguo za ndani hawa watoto… pamoja na kusema isha kua common kweli haipendezi… enways hii sasa topic nyingine…

19 – 25 years

Anajiona kua kawa mtu mzima na hutaka saana awe treated kama mdada..She is half wild, minimally exposed, akiamini kua yeye ni yeye.. hujiachia saana, uvumilivu katika mahusiano sio saana after all wanaomtongoza na kum admire ni wengi saana, anajiona na kuamini kwa dhati ni mzuri hata kama sio (ila hukereka na kiungo kimoja wapo mwilini i.e pua, mdomo, boobs, wowowo, miguu, n.k). Katika love kwake kila kitu ni black and white… Hujiamini pia katika mahusiano na huamini sababu tu analala na the guy – hawezi dhubutu kumuacha yeye (the lady) au kumchanganya na wengine… Na la muhimu huamini huwezi ingia katika mahusiano kama hujapenda… Hii ndo period ambayo wadada tunakua most naïve… Stage hii mwanaume akimuangalia anajua kapendwa…

26 – 32 years

Fully exposed, fully discovered, fully endowed… almost perfect (in attitude as well as physical make up)… In this stage she is HOT! Yuko more calculated, katika mahusiano, mapenzi si lazima but sex muhimu saana.. she is independent (sometimes just pretending to be..).. anajua ni nini anataka, mpaka kafika hapa kaumizwa mara nyingi hivyo yuko makini na ana prefer kuingia mahusiano na a guy anaeonekana yupo serious in a relation na ni husband material.. hata akipenda sana wengi huogopa kuonesha mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake.. tokana na past experiences… Stage hii mwanaume akimuangalia anaamini anaangaliwa as a result of lust/tamaa…

33 – 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee… hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material… Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa…

39 years and onwards…

Every man walomzunguka may know she is single but very few want to approach her.. huyu yupo kwa ajili ya maisha yake binafsi, she has given up kupata life partner! Kwa wale wanaopenda /endekeza sex – one night stands ni kwa saaana… Stage hii mwanaume akionesha interest anaelewa deep down in her kua ni pa kupumulia (for the guy…) And this stage ni maarufu saaana kwa Serengeti Boys….

Note:

The above mtazamo ni wangu sio Universal na nime observe majority ndo naona na kuamini wako/tuko hivyo… zingatia imelenga kwa wadada ambao hawajawahi olewa kabisa…

Kina dada/mama nitaomba mchango wenu kama mnakubali au lah! Na kuongezea mtazamo wako/wenu… Kina kaka/baba naomba mchango wenu hasa kwa kuzingatia personal/friends experience wakati wa kututokea akina dada/mama wa rika tofauti…

NB: Off topic

Jamani I missed jamvini na wanafamilia wa MMU wooooote! Yaani almost niwe admitted hopitalini... (kidding..lol) Serious note: I really had missed you all in ways I thot not possible… Cku njema dears and want you to know Ashadii loves you all…


Ashadii (Fellow JF members.. Please notice the name change….)
Pamoja saana.




Aiseeee
Nilikuwa sijaoina hii . . . . maana ndio haswaaaaaa ninaokutana nao kila kona.
Ngoja niisome na kuitafakari vizuri na nilichokiona kwa rika hili.
Ashadii my woman, take me a note.
Usii - edit chochote hapa mpaka nimalize kusoma
 
Aiseeee
Nilikuwa sijaoina hii . . . . maana ndio haswaaaaaa ninaokutana nao kila kona.
Ngoja niisome na kuitafakari vizuri na nilichokiona kwa rika hili.
Ashadii my woman, take me a note.
Usii - edit chochote hapa mpaka nimalize kusoma

CPU mimi naedit sasa maana nina copy right hapo
 
  • Thanks
Reactions: CPU

Similar Discussions

Back
Top Bottom