Understand that speacial lady you have fallen for....

Understand that speacial lady you have fallen for....

Gagurito hili jukwaa umekua adimu.... au sababu labda sikuwepo...<br>
Nimependa insight ulotoa katika post yako na ninashukuru kama umeona<br>
kua imekufaa... Hujachelewa kwa kweli, ilishapita siku nyiingi ila kuna jamaa<br>
akaipenda na ku comment...<br>
<br>
Kuhusu swali lako....<br>
<br>
Wanaume wengi wana mtindo wa kuruka toka sketi hii kwenda ile<br>
au hata kuzichanganya sababu kama wanavyosema, ujana maji moto..<br>
Sasa basi hiio age ya wanaume uloweka hapo wapo very caring na wanajua<br>
kubembeleza, kutunza na the best class ya kuchuna, na hio age ya wadada ndio<br>
wachunaji wazuri....
<br><br>Umejibu vizuri, Lakini mimi nilidhani ulikuwa una lengo la kufanya urekebishaji na kusema kuwa hizo tabia ni ugonjwa na aliye nazo basi anahitaji msaada wa kutibiwa. Kwa huo umri wanaume ni wana ndoa means wanacheat na wadada wa umri huo ndio muda wa kuolewa hivyo wanakosa kupata wenzi wa uhakika hivyo watafanya zimamoto. Nimeshakwambia kama tungekuwa tunakuwa pamoja wanawake na wanaume basi huu ugonjwa ungeisha, nilisema awali kuwa umri huo wanaume wanajijenga kimaisha hivyo walokosa wanawake wa aina hiyo wakati wa umri wao 20-30 kwa kuwa walikuwa hawana kitu hivyo hamu yao ilikuwa bado. JE TUHITIMISHE KWA KUSEMA SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?. ''very hars coment sorry''
 
Kidzude 01.SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?.''very hars coment sorry''
 
Hii thread ni very useful kwa single women. Na inakanusha usemi kuwa age ain't a thing but number. Ni usemi potofu ukija gundua age is everything wajikuta tayari uko kwenye group la one night stand. Na huwezi rudisha umri nyuma. Juzi kuna dada tunasoma nae (wa ruanda) alikuwa anatuambia anahitaji sana kuolewa lakini hajapata wa kumuoa. Kaka mmoja akamwambia hivi unavyozidi kuongeza elimu jua ndio hutampata kabisa wa kukuoa. Nikajiuliza what happened mpaka huyu dada mzuri hivi akose mume na anataka kuolewa. Nafikiri wakati alipokuwa likely kuolewa alikuwa ahamini kwenye marriage now she is over age anatamani ndoa. Kila amuonae anadhani ni Mrs fulani, though she is real beautiful. Age is everything wapendwa, huwezi shindana na vigoli wakati wewe ni over 35!
 
<br><br>Umejibu vizuri, Lakini mimi nilidhani ulikuwa una lengo la kufanya urekebishaji na kusema kuwa hizo tabia ni ugonjwa na aliye nazo basi anahitaji msaada wa kutibiwa. Kwa huo umri wanaume ni wana ndoa means wanacheat na wadada wa umri huo ndio muda wa kuolewa hivyo wanakosa kupata wenzi wa uhakika hivyo watafanya zimamoto. Nimeshakwambia kama tungekuwa tunakuwa pamoja wanawake na wanaume basi huu ugonjwa ungeisha, nilisema awali kuwa umri huo wanaume wanajijenga kimaisha hivyo walokosa wanawake wa aina hiyo wakati wa umri wao 20-30 kwa kuwa walikuwa hawana kitu hivyo hamu yao ilikuwa bado. JE TUHITIMISHE KWA KUSEMA SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?. ''very hars coment sorry''


Kidzude nilipotoa analysis katika thread simaanishi kua na support yoote ambayo
nimeeainisha kua ni mazuri... ila tu ni kwamba huo ndio ukweli wenyewe... ukiangalia hio
post uloni quote kujibia post yako nimejibu kwa nini lakini sijasema na support... lengo hasa
kwa kweli kuhusu thread ilikua kueleza utambuzi wangu umefika wapi nipate na michango mingine...
Pamoja na kusema ni waume wa watu - bado ni wazi kua they are the considered ni best lovers
kuliko the younger men..


JE TUHITIMISHE KWA KUSEMA SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR
FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?.

I do not agree with the above statement... simply because the majority ya single mothers
ni wale young... na sababu zimepishana, from kubakwa, kurubuniwa, kudanganywa na kujitakia..
Wa kujitakia wanaingia katika your above statement, but the majority sio.... kuwaweka katika
the above statement as final would be very un fair... Na katika age ambayo wadada wanaamua tu
kuzaa ni wale ambao mara nyingi kisha vunja hope ya kuolewa tena.... for age inakua imeenda...


Hivyo na support kila ulio andika, Il
 
Hii thread ni very useful kwa single women. Na inakanusha usemi kuwa age ain't a thing but number. Ni usemi potofu ukija gundua age is everything wajikuta tayari uko kwenye group la one night stand. Na huwezi rudisha umri nyuma. Juzi kuna dada tunasoma nae (wa ruanda) alikuwa anatuambia anahitaji sana kuolewa lakini hajapata wa kumuoa. Kaka mmoja akamwambia hivi unavyozidi kuongeza elimu jua ndio hutampata kabisa wa kukuoa. Nikajiuliza what happened mpaka huyu dada mzuri hivi akose mume na anataka kuolewa. Nafikiri wakati alipokuwa likely kuolewa alikuwa ahamini kwenye marriage now she is over age anatamani ndoa. Kila amuonae anadhani ni Mrs fulani, though she is real beautiful. Age is everything wapendwa, huwezi shindana na vigoli wakati wewe ni over 35!



Alafu NK Cha ajabu sijui wababa wakoje, kama liwahi oa akafiwa na wife au kuachana nae...
in most cases anataka the wife amabe aliwahi olewa... hua hawana amani kabisa na mdada mtu
mzima na hakuwahi olewa au hana mtoto... Na kingine wadada wengine wasomi ni limbukeni na
haelewi basics za mahusiano... kua elimu yako pembeni mbele ya umpendae au mumeo...
Wewe every time unaleta usomi kwenye mahusino, hata kama the guy alikua na nia.... anasepa.
 
Wanaogopa kuoa ambao hawajawahi kuolewa wakiogopa complications kwani watakuwa wana demand jamaa arudi kwenye maisha ya ujana wakati tayari ana majukumu. Na ambaye hajawahi kuolewa na umri umeenda inaweza kuwa inaleta mashaka kwa nini wengine hawakumwona?
Kuhusu usomi ngoja nicheke tu. Wengine wanaweka high standards za watakaowaoa in the end wanajikuta hamna wa kuwaoa kwani wale wenye akili kama wao si lazima wavutiwe nao. Ndio maana ni rahisi sana kwa msichana kuolewa akiwa bado hajajijenga kimaisha kuliko akianza kumiliki mali; kwani wadada wengi wenye mali wako too selective wakija ku realize na kushusha standards walizojiwekea wanakuta wa umri wao wameshaoa.


Alafu NK Cha ajabu sijui wababa wakoje, kama liwahi oa akafiwa na wife au kuachana nae...
in most cases anataka the wife amabe aliwahi olewa... hua hawana amani kabisa na mdada mtu
mzima na hakuwahi olewa au hana mtoto... Na kingine wadada wengine wasomi ni limbukeni na
haelewi basics za mahusiano... kua elimu yako pembeni mbele ya umpendae au mumeo...
Wewe every time unaleta usomi kwenye mahusino, hata kama the guy alikua na nia.... anasepa.
 
Wanaogopa kuoa ambao hawajawahi kuolewa wakiogopa complications kwani watakuwa wana demand jamaa arudi kwenye maisha ya ujana wakati tayari ana majukumu. Na ambaye hajawahi kuolewa na umri umeenda inaweza kuwa inaleta mashaka kwa nini wengine hawakumwona? Kuhusu usomi ngoja nicheke tu. Wengine wanaweka high standards za watakaowaoa in the end wanajikuta hamna wa kuwaoa kwani wale wenye akili kama wao si lazima wavutiwe nao. Ndio maana ni rahisi sana kwa msichana kuolewa akiwa bado hajajijenga kimaisha kuliko akianza kumiliki mali; kwani wadada wengi wenye mali wako too selective wakija ku realize na kushusha standards walizojiwekea wanakuta wa umri wao wameshaoa.

Hio blue imenifurahisha saaaana... So agree with you... Na mara nyingi what you say mara
nyingi nakubaliana nayo... yaani hio post ni perfect... Inasikitisha tu kua wadada wanakua
wasomi but their level of thinking kuhusu maisha....low... sad...
 
Kidzude 01.SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?.''very hars coment sorry''

very hars (harsh) ni mbaya mno very conclusive. lakini kwa kila jambo linalopandwa lina mazao yake.
 
Kidzude nilipotoa analysis katika thread simaanishi kua na support yoote ambayo
nimeeainisha kua ni mazuri... ila tu ni kwamba huo ndio ukweli wenyewe... ukiangalia hio
post uloni quote kujibia post yako nimejibu kwa nini lakini sijasema na support... lengo hasa
kwa kweli kuhusu thread ilikua kueleza utambuzi wangu umefika wapi nipate na michango mingine...
Pamoja na kusema ni waume wa watu - bado ni wazi kua they are the considered ni best lovers
kuliko the younger men..


JE TUHITIMISHE KWA KUSEMA SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR
FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?.

I do not agree with the above statement... simply because the majority ya single mothers
ni wale young... na sababu zimepishana, from kubakwa, kurubuniwa, kudanganywa na kujitakia..
Wa kujitakia wanaingia katika your above statement, but the majority sio.... kuwaweka katika
the above statement as final would be very un fair... Na katika age ambayo wadada wanaamua tu
kuzaa ni wale ambao mara nyingi kisha vunja hope ya kuolewa tena.... for age inakua imeenda...


Hivyo na support kila ulio andika, Il


Nashukuru except ile pale juu ya ''JE TUHITIMISHE KWA KUSEMA SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR
FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?.
'' Usiikubali . Kwa sasa jamii yetu imechanganya mno mambo ni muda wa kutengeneza culture mpya. Just speak loud girls your wrong freaking with watu wazima is shame boys your not a man enough to be with sugar mumies and All people we have to live decent life in order to realize oour life goals because any nation starts with a family single parent family and unstable families is worse to any nation. Whatever a person do should think far.
 
Nashukuru except ile pale juu ya ''JE TUHITIMISHE KWA KUSEMA SINGLE MOTHERS ARE REAPING THEIR
FRUITS BY BEING RECKLESS AT TIME OF SOWING?.
'' Usiikubali . Kwa sasa jamii yetu imechanganya mno mambo ni muda wa kutengeneza culture mpya. Just speak loud girls your wrong freaking with watu wazima is shame boys your not a man enough to be with sugar mumies and All people we have to live decent life in order to realize oour life goals because any nation starts with a family single parent family and unstable families is worse to any nation. Whatever a person do should think far.


Kidzude that is tooo general man! You are speaking as if every lady does that!!
Not fair at all bana, how can we say woote are freaking out na watu wazima whereas
kuna wengine hawataki hao watu wazima... it depends... Na kitu kingine utambue kuhusu
Culture ni kua it is one of the important aspects which can never be controlled for it self evolves...
 
Hayo ni mawazo yako tu! Organism yeyote hubadilka kutokana enviroment! without age consideration'
 
Hio blue imenifurahisha saaaana... So agree with you... Na mara nyingi what you say mara
nyingi nakubaliana nayo... yaani hio post ni perfect... Inasikitisha tu kua wadada wanakua
wasomi but their level of thinking kuhusu maisha....low... sad...

Need I say more...this sums up all that ve been said above...
 
Ila AshaDii my woman unapiga post balaa,
Miezi mi3 ndani ya JF tayari una post 4,000 plus
Sasa ukikaa mwaka si utakuwa umeshamshika mkongwe Mzee Mwanakijiji??
 
Ila AshaDii my woman unapiga post balaa,
Miezi mi3 ndani ya JF tayari una post 4,000 plus
Sasa ukikaa mwaka si utakuwa umeshamshika mkongwe Mzee Mwanakijiji??


Hey CPU... is it meant as compliment or you want me to reduce??....lol
 
Ooh!
My woman!! Since when you call me "Hey CPU"??
Ooh, I know you dont love me


Of coz you know i love you... that is why nikaomba uwe kaka wa hiari...

Sorry, Will call you broda from now.... BTW hujajibu swalli from my last post...lol
 
Of coz you know i love you... that is why nikaomba uwe kaka wa hiari...

Sorry, Will call you broda from now.... BTW hujajibu swalli from my last post...lol

Ukaka hauwezekani hata kidogo, coz my love for you is not for being a kaka.
Anyway, am impressed with the way you post
 
Ukaka hauwezekani hata kidogo, coz my love for you is not for being a kaka.
Anyway, am impressed with the way you post


Well thank you Dearest... But we will have to make a truce... you can call me

your woman but i can not call you my man.... hapo ndio tatizo... and you know why...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom