Understand that speacial lady you have fallen for....

Understand that speacial lady you have fallen for....

mmmh, unajua Dinnah sio wote wanawake wapitao barabarani ni waolewaji....................


Alafu Bacha sikumbuki kama nimeona mawazo yako.... Please oblige...
 
ADI,

Tumetoka mbali wenzio...Enzi zetu weee acha tu. Yaani ukiona paja tu la msichana unaweza kupiga yowe kama vile umevamiwa na simba. Usishangae kijiji kizima kikakusanyika ku-rescue.....Enzi hizi za laani mapaja, maziwam, tumbo na mengine mengi yako nje bwelele....Ni mengi tu kuanzia smooth hadi yale yaliyo rough kama ngozi ya kenge!!!

Everythink is on a commercial break...Hii dunia yenu peke yenu aiseee!!!


Enzi hizi DC, wanaume hatuna hata haja ya kutongoza,
dada zetu wanakuwa wameshajitongozesha wenyewe,
the reverse is true, sasa hivi wanaume ndo wanaokataa/kukubali kutoka na mwanamke lol.....
kweli wakiwezeshwa , wanaweza!!!!!!
 
Sana tu mpaka kujiexpress ishu ikaja kwenye kutoa pesa nile kwa uhuru akachomoa



Yaani ulitakiwa ulipie msosi??? No wonder humtaki na hivi kachuja...
unaona the way ulikua naive... ulikua radhi ulipie msosi alafu na
ku halalisha, naamini saizi hamna anaeweza kukutega kiasi hicho...

ha ha ha .... Alafu unasema you have never loved....lol
 
Kama umeachika pouwa tu, kikubwa umeonja joto au baridi ya jiwe...lol

Mi naona kawaida tu na maisha yanasonga

Yaani ulitakiwa ulipie msosi??? No wonder humtaki na hivi kachuja...
unaona the way ulikua naive... ulikua radhi ulipie msosi alafu na
ku halalisha, naamini saizi hamna anaeweza kukutega kiasi hicho...

ha ha ha .... Alafu unasema you have never loved....lol

Hahahaha lakini kumbuka sikuwa katika deep feelings mm nilitaka niwe na kata kiu kwa uhuru kuliko kujificha ficha kwenye maguest
 
Enzi hizi DC, wanaume hatuna hata haja ya kutongoza,
dada zetu wanakuwa wameshajitongozesha wenyewe,
the reverse is true, sasa hivi wanaume ndo wanaokataa/kukubali kutoka na mwanamke lol.....
kweli wakiwezeshwa , wanaweza!!!!!!


Bacha hayo sasa madongo.... :A S 39::A S 39::A S 39:
 
Hapa ume backstab last man standing:wink2::wink2::wink2:


Back stabbing si mbaya saana ... makes you careful with who you deal with in the future...
Issue ingekua the following...

:laser:Rampampampaaaa
Rampampampaaaa
Ramapampampaa
Man Down....lol
 
Enzi hizi DC, wanaume hatuna hata haja ya kutongoza,
dada zetu wanakuwa wameshajitongozesha wenyewe,
the reverse is true, sasa hivi wanaume ndo wanaokataa/kukubali kutoka na mwanamke lol.....
kweli wakiwezeshwa , wanaweza!!!!!!

Matunda ya Beijing hayo lakini wananichosha pale wanapo kataa kazi za kubeba magunia wanasema eti za wanaume
 
helloooo!! i am in dsm at the moment,hivyo kukutana na wana JF inabidi nitembee na bango lilioandikwa JF or what?
 
Mi naona kawaida tu na maisha yanasonga



Hahahaha lakini kumbuka sikuwa katika deep feelings mm nilitaka niwe na kata kiu kwa uhuru kuliko kujificha ficha kwenye maguest


Huna loloooote... si ndo story zenu za kijiweni hizi....lol
I dont buy hata uuze kwa bei gani, nishajue you fell hard!!
 
Huna loloooote... si ndo story zenu za kijiweni hizi....lol
I dont buy hata uuze kwa bei gani, nishajue you fell hard!!

Hahahahaha ndo hivyo bana pale nilipo achika si ningekuja kuomba ushauri kwa wadau jamani mwenzenu nimeachika
 
Matunda ya Beijing hayo lakini wananichosha pale wanapo kataa kazi za kubeba magunia wanasema eti za wanaume


Mtaniudhi sasa hivi... acheni kujudge kwa kutumia the minority number of ladies who are
independent... the majority bado wanateseka na wanateswa na akina baba na hawana
jinsi of emancipation, no matter what they do or where they run!!!
 
helloooo!! i am in dsm at the moment,hivyo kukutana na wana JF inabidi nitembee na bango lilioandikwa JF or what?


Are interested in me?? If interested unataka nikutane nawe
kama Ashadiii or Faiza Foxy (the alternative ID umenipa...lol)
 
Hahahahaha ndo hivyo bana pale nilipo achika si ningekuja kuomba ushauri kwa wadau jamani mwenzenu nimeachika


Hapa nawanukuu (dirty money - sorry kama hupendi music....)

It is so easy to be Puff but it aint easy to be Sean - Am coming home... (P diddy)
 
Are interested in me?? If interested unataka nikutane nawe
kama Ashadiii or Faiza Foxy (the alternative ID umenipa...lol)
HAPO tukikutana,id za JF wont count,sababu you will be in the flesh-hapo sasa all will be laid bare
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom