Huko Mbeya kuna kina Mwandosya...Hatukuona saluti kwasababu tukio lilikuwa tofauti..Badala yake ni mawe.
Kila jimbo limechoshwa na utawala wa serikali kuu na inatakiwa waje wazalendo wa kuyaunganisha tena majimbo haya la sivyo itakuwa ngumu kuwa na sirkali madhubuti....Hii ni very serious mamdogo.
Sikumaanisha kuwa Lowassa ampige mawe JK...Ila hata saluti aliyopewa yeye ni si jiwe kubwa tu? Vipi kuhusu wale wazee na walimu? Nao walevi tu?
Mzigo ni mzito kwa JK kuitawala nchi yote na ndio maana unaona wale waliochaguliwa huko majimboni mwao ndio wanaopewa respect zaidi yake kwasababu Taifa halitawaliki tena na ufisadi umemshinda nguvu mkuu wa nchi.
Hujasikia hata Mh Rais mwenye anawaishwa ikulu kabla ya giza kuingia?
Hii ni kama akiwa nje ya Dar....So unaweza kuona kuwa hatawali nchi nzima as of now.