Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,715
Sina hakika sana; lakini nakumbuka kuliwahi kuwa na mjadala mzito bungeni wakitaka nao -wabunge wapigiwe saluti!
Wakati wanapeleka muswada wa kuitwa waheshimiwa niliwahi kusema kuwa kuna siku watataka wapigiwe saluti na ikatimia siku kukawa na kitimtim bungeni (tambo za Simpasa), pia nawaambia hawataishia hapo watataka wakistaafu waitwe waheshimiwa wabunge wastaafu, au pia watakwenda zaid ya hapo....
Kuhusu Lowasa kupigiwa saluti nadhani pia tutaiona hata siku akipandishwa mahakamani ambapo atapigiwa saluti na askari jela.....
enewei ni vijimambo tu hivi