Hakuna kipengele kwenye katiba ya CDM kinachosema urais utagombewa na mwenyekiti, sioni kwanini uandike eti Mbowe anastahili credit kwa kumwachia Dr Slaa kugombea urais. Hiki ni chama cha kidemokrasia, hivyo mwaka 2015 mwanachama yeyote anayejiona anazo sifa za kuongoza nchi hii, ruksa kuchukua fomu. Hatutaki yaanze kujengwa mazingira ambapo mwanachama tofauti na hawa tuliowazoea akichukua fomu ataonekana msaliti au mamluki. Tuache demokrasia iamue nani atatufaa.
Ndugu mwanamagamba, hongera kwa kuchagua avatar nzuri inayo-reflect jinsi magamba wanavyoonekana mbele ya jamii.
Ndugu mwanamagamba, hongera kwa kuchagua avatar nzuri inayo-reflect jinsi magamba wanavyoonekana mbele ya jamii.
pale unaposema kuwa viongozi hawa wawili wasiguswe kwenye uchaguzi ndani ya chama ndio umeharibu kila kitu.naona unaanza kupendekeza udikteta sasa.
Ivi ile ishu ya ununuzi na uuzaji wa magari kuukuu ndani ya chama iliishiaje?
Ndugu siasa sio kama mchezo wa kiduku ukichuchumaa watu wanashangilia.
Kwa hiyo msipakane mafuta kwa mgongo wa chupa, sifa mnazowamwagia hawa jamaa ni sifa za kienyeji zaidi.
Mwisho wa siku mtasema Mbowe na DK Slaa, wanamzidi Obama, kwa siasa.
Nadhani ni wakati sahihi pia kwa chadema kupenetrate had kwa wazee kiitikad ili nao wawe transformed km wanafunzi wengi nchini walivyo kuwa transformed, kwa ufupi ni kwamba tushirikiane kujenga imani ya chama kwa makundi y RIKA ZOTE NCHINI