Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Kuna movie moja mdada alitaga yai, kulipasua akatoka mtoto ana rangi ya kijani, nayo cjui yaitwaje, anayejua atukumbushe.
Itv
____
1. Ile movie ya "V"
2. ile ya vicent jitu lenye sura ya simba
3.Mchezo wa kenya " Tausi"
4. Tamthilia ya mauaji "tahamaki"
5. Sumbi na bocha
6. Nyota ensemble
7. Mzee jongo na bi nyakomba
Ctn
____
1. Vituko vya mzee small "cheka na ctn"
Dtv
_____
1.Kitimoto cha pascal mayala
Itv
____
1. Ile movie ya "V"
2. ile ya vicent jitu lenye sura ya simba
3.Mchezo wa kenya " Tausi"
4. Tamthilia ya mauaji "tahamaki"
5. Sumbi na bocha
6. Nyota ensemble
7. Mzee jongo na bi nyakomba
Ctn
____
1. Vituko vya mzee small "cheka na ctn"
Dtv
_____
1.Kitimoto cha pascal mayala
kipindi hiko ITV ilikuwa kituo kizuri sana walikuwa na vipindi vizuri vilivyosisimua watazamaji wake. Mfano, kwenye filamu kulikuwa na filamu kama vile Rino rens jamaa alikuwa na anapenda sana pikipiki, point man, time trax, family matters na nyingine tele. Je wewe unazikumbuka zp?
ila tamthilia ya Tausi ilikuwa mwisho wa matatizo nawakumbuka sana akina masta sugu,joto, mzee kasri, siti, mjuba, kibibi
Motor Combart...
This was my best 1.acapulco bay