Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,413
- 6,570
kipindi hiko ITV ilikuwa kituo kizuri sana walikuwa na vipindi vizuri vilivyosisimua watazamaji wake. Mfano, kwenye filamu kulikuwa na filamu kama vile Rino rens jamaa alikuwa na anapenda sana pikipiki, point man, time trax, family matters na nyingine tele. Je wewe unazikumbuka zp?