Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,323
- Thread starter
- #81
Unajua nini swali langu..kama haumtreat mumeo vizuri atatafuta watu wanaojua kutreat vizuri...
Kumbuka sisi wanaume sio wajinga..
Ukweli ni kwamba...wanaume wengi narudia tena wengi japo sio wate wana maside chick. ..ila tu kwa kuwa wewe ni mke wake na anakupenda hawezi hata siku moja kukuonyesha na wala huwezi kugundua na hata kuhisi.
Ukiona mpaka mmeo anakuonyesha texts za hawala wake .
Hapo lazima kutakuwa na kitu tu Dada angu.. we chunguza vizuri.
Wanaume sio wajinga ila wanawake wao ndo wajinga????? Hivi ukiniletea nikamuua itakuwaje?? Utaniacha nikafie jela uoe mwingine sio??? Mlaaniwe wanaume wahivi