Unawezaje kuvumilia hii?

Unawezaje kuvumilia hii?

Wee hujui tu yani.. Kwanza Mke Mkubwa baada ya kuona tu chattings za mume na mchepuko alishasema weeeeeeee mume ndo wa kuelewa Somo!!!!???? ndokwanza anasisitiza kuwa yule ni mke wangu naomba ujue hilo na sitaki umtukane na maneno yako yanyodo nimekwambia yule nae ni mke wangu na nampendaaa.. Mke sema sema wapi siku nyingine mume hata wiki mbili anakaa na kulala kwa chepuko badae anarudi kwake kwa mchepuko kwake kwa mchepuko.. Saiv mchepuko yupo likizo ndoivo
Unajua nini swali langu..kama haumtreat mumeo vizuri atatafuta watu wanaojua kutreat vizuri...

Kumbuka sisi wanaume sio wajinga..

Ukweli ni kwamba...wanaume wengi narudia tena wengi japo sio wate wana maside chick. ..ila tu kwa kuwa wewe ni mke wake na anakupenda hawezi hata siku moja kukuonyesha na wala huwezi kugundua na hata kuhisi.

Ukiona mpaka mmeo anakuonyesha texts za hawala wake .

Hapo lazima kutakuwa na kitu tu Dada angu.. we chunguza vizuri.
 
Hii mimi ninaweza sana.

Nikiwaga na mihela akili zinwaza mchepuko tu na mbwembwe kama hizi, mpaka hela ikate mfukoni ndio akili za kutulia kwa wife zinarudi...

Ila tuliambiwa wanawake ni viumbe wavumilivu na wapole, inabidi na hizo mbwembwe azivumilie tu.
Mkeo kweli mvumilivu yelewiiiii utakula ulipopeleka mboga aisee
 
Ndo maana huwa nasema ndoa ni utumwa,
Mnaoana kwa mbwembwe ila mkishakinaishana mnaanzisha vitimbi.
Ukiwa bachelor una amua umkaze nani bila ya kumkwaza mtu.

VARIETIST TODAY, TOMORROW AND FOREVER.
Ndoa sio utumwa

Ila walioko ndoani ndio wanajitia utumwa

Hivi anaanzia wapi kwa mfano kuleta chepuko??????

Na wakija wakiona nimekaa kimya wakatoe taarifa polisi kabisaaaaaaaaa
 
ebhana mi hiyo nimewahi kuishuhudia sehem flan hv, jamaa kaongeza mke wa pili humo humo ndani, sio siri mke mkubwa akaanza kuteseka sana mpka vichapo,
kibaya zaid mzee ni 52yrs afu mchepuke 22 yrs! na anawatoto wakubwa kuliko hako kamchepuko kake, sasa utamu ulikuja pale alipoanza kuwaforce watoto wampe shikamoo mchepuko. weeee!
Na wstoto wameangalia tu mama yao akipewa kichapo????

Walahi mchepuko ungekula kichapo mpaka wenyewe ndio utoe shikamoo..

Unless kama watoto walikuwa wanamtegemea mwanaume
 
Wanawake Wa sasa sijui mkoje yaan hamueleweki kabisa... Mmejawa na wivu Wa kijinga tu... Utakuta mwanamke anawivu kwa Mme wake wakat kutekeleza majukumu ya mwanamke hawezi.. Umeolewa huna bikra , umefika kwa mmeo huachi mchepuko, kitandan mvivu visingizio haviishi kisa tu umetoka kukazwa na mchepuko, kupika kazi zote unamwachia hausigeli, ndan ya nyumba mmeo unamjibu kunya, mda wote kujifanya bize ... Mmeo akiamua kutafuta mke Wa Pili vurugu haziishi..

Wakat wazee wetu waliweza kuoa hata wanawake 6 lakn wake zao hawakuwa na wivu kama hawa wasasa Wa mitandaon na Beijing...

Kwahiyo ndo uniletee kwangu kabisa???? kumpangishia kwingine je?? Sio vizuri hata kidogo unamfanya mkeo kuwa mdhaifu sanaa na unamuathiri kisaikologia
 
Sidhani kama kuna mwanamke anapenda kuongezewa mwenzake hata kama hawataishi nyumba moja,ni ngumu sana,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom