Unawezaje kuvumilia hii?

Mbona hiyo siyo tatizo?kuna moja jamaa anarudi na mchepuko wake af bi mkubwa anatolewa chumbani akatafute pa kulala na bado yupo tu.watu wana royo tofauti sana.
 
Ndo maana huwa nasema ndoa ni utumwa,
Mnaoana kwa mbwembwe ila mkishakinaishana mnaanzisha vitimbi.
Ukiwa bachelor una amua umkaze nani bila ya kumkwaza mtu.

VARIETIST TODAY, TOMORROW AND FOREVER.
 
Wanawake Wa sasa sijui mkoje yaan hamueleweki kabisa... Mmejawa na wivu Wa kijinga tu... Utakuta mwanamke anawivu kwa Mme wake wakat kutekeleza majukumu ya mwanamke hawezi.. Umeolewa huna bikra , umefika kwa mmeo huachi mchepuko, kitandan mvivu visingizio haviishi kisa tu umetoka kukazwa na mchepuko, kupika kazi zote unamwachia hausigeli, ndan ya nyumba mmeo unamjibu kunya, mda wote kujifanya bize ... Mmeo akiamua kutafuta mke Wa Pili vurugu haziishi..

Wakat wazee wetu waliweza kuoa hata wanawake 6 lakn wake zao hawakuwa na wivu kama hawa wasasa Wa mitandaon na Beijing...
 
Hii mimi ninaweza sana.

Nikiwaga na mihela akili zinwaza mchepuko tu na mbwembwe kama hizi, mpaka hela ikate mfukoni ndio akili za kutulia kwa wife zinarudi...

Ila tuliambiwa wanawake ni viumbe wavumilivu na wapole, inabidi na hizo mbwembwe azivumilie tu.
kwahiyo mkeo yupo kwa ajili ya kukosa hela tu
 
Inategemeana. Kama mke alikuwa kiburi, haki ya ndoa anatoa kwa masimango, ana kauli chafu, kiburi n.k Hilo nitafanya na zaidi lakini si katika hali ya kawaida mke hajanikosea wala kuonyesha mapungufu yoyote.
Lakini, kwanini asimpeleke asimtafutie mke ndogo makazi kwingine?
 
ebhana mi hiyo nimewahi kuishuhudia sehem flan hv, jamaa kaongeza mke wa pili humo humo ndani, sio siri mke mkubwa akaanza kuteseka sana mpka vichapo,
kibaya zaid mzee ni 52yrs afu mchepuke 22 yrs! na anawatoto wakubwa kuliko hako kamchepuko kake, sasa utamu ulikuja pale alipoanza kuwaforce watoto wampe shikamoo mchepuko. weeee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom