Kitu muhimu mno ktk maisha????Imani yangu inazuia tu lakini kuwa na akiba ya mwanamke ni kitu mhimu mno ktk maisha basi tu!
Swali zuri sana hili..Na wewe mtoa uzi...kabla hujaweka uzi wako hapa...embu jiulize kwanini..umeletewa nyumba ndogo nyumbani...
Ukishapata jibu ndio tuendelee.
kwahiyo mkeo yupo kwa ajili ya kukosa hela tuHii mimi ninaweza sana.
Nikiwaga na mihela akili zinwaza mchepuko tu na mbwembwe kama hizi, mpaka hela ikate mfukoni ndio akili za kutulia kwa wife zinarudi...
Ila tuliambiwa wanawake ni viumbe wavumilivu na wapole, inabidi na hizo mbwembwe azivumilie tu.
Utakuja kwangu?!Mimi sifugi huo ujinga.Nitaondoka niwaache wakae kwa uhuru.