Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Ha ha ha ha najua ntapata pa kukupatia tu Si unajua kila mtu Ana weakness yakeHaaa kaa mbali nami kabisa nikikasirika hunishiki
Ha ha ha ha najua ntapata pa kukupatia tu Si unajua kila mtu Ana weakness yakeHaaa kaa mbali nami kabisa nikikasirika hunishiki
Ha ha ha ha ha kwa kwel upend wa bi mkubwa ananupendo uliopitilza inabd na wewe uige huo mfano we upeleke mpka mananasiHahahaahhahahaahahahahaha ndio Bonny kama huu ni msimu wa maembe?? Kwa mdogo maembe yanapatikana kwa bei kubwaaa afu kwa nadra sa kwa mkubwa maembe kibao asimtungulie mwenzie tu??
That's true! Ila kwahuyu mkubwa Nina walakini na akili yake.. Kuna kipindi mumewe anaumwaga presha ambayo inasababishwa na nyumba ndogo.. Na nyumba ndogo sijui ashajua muwe wa mtu kafa kaoza kwake ndo makusudi kibaooo presha presha mpaka mkewe anampigia simu kumuuliza mke mdogo umemfanyeje huyu??? Anaumwa siku ya Tatu Leo Njoo umuone wewe ndo atapona.. Mi najua ukija tu atapona Mdogo anajibu mumeo nimemwambia namuacha aendelee na familia yake mi uke wenza siwezi.. Mkubwa kwa upoyoyo anaanza kubembeleza mdogo jameni usimuache anakupenda sana mi najua tu anakupenda sana ukimuacha sijui yani khakhaakhaa kwahizi akili za mkubwa hizi mwee