schlumberger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 890
- 349
Hivi jana na juzi walikula wapi?
Shindaneni kwa sera sio kutukana hawa vikongwe ambao naamini hawapo humu jf kujibu mashambulizi yenu! Shallow minds!
mweshimu mama, achana na laana. Ccm juu
je ccm inavyowaburuza kwa kutumia huo uzee wao unaona
Msakame aliyewaburuza! Si kuwatukana wahusika kwenye picha kuwa hawana meno na hawajapiga mswaki! So shallow!! Narudia!
Je wanajitambua na wanajua wanachoshabikia,au wanafata mkumbo tu?
sidhani kama unaamini ulichokiandikaNdani ya uongozi uliotukuka wa ccm, wazee wanafurahia maisha
Bora CCM inawakumbuka kwa Ubwabwa,T shirts, Kanga, Chumvi, pesa nk.
Cha msingi kila mtu anabeba msalaba wake na Maisha yanasonga mbele.
Chadema wanaofaidi ni wazinzi fulani wanabadilisha wanawake..
eti wanashindana kuachana na wake zao kuchukua hawara.
wengine eti mahawara wanawaita wachumba.
Acheni bibi zetu wafurahi..mnataka waende kwenye mikutano yenye fujo kwani wamewaambieni wao ni mabondia..
ili uwe chadema lazima uwe mtu wa shari asiyetumia akili yake ipasavyo na ikiwezekana unywe gongo na kuvuta bangi ili ujiweke tiyari kwa fujo zisizo na tija...
Haya matusi yako kwa vijana wapiga kura ni kauli rasmi ya chama chako cha ccmHongera sana kwa kulitambua hilo. Si kama hizi saccos ambazo wengine ndo hupata sababu za kujipatia mahawara wa chee