Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Hongera sana kwa kulitambua hilo. Si kama hizi saccos ambazo wengine ndo hupata sababu za kujipatia mahawara wa cheeCCM chama cha zamani na wanachama wake ni watu wa zamani.
Hongera sana kwa kulitambua hilo. Si kama hizi saccos ambazo wengine ndo hupata sababu za kujipatia mahawara wa cheeCCM chama cha zamani na wanachama wake ni watu wa zamani.
---------- kanga, sabuni na chumvi, hata nyumba wanzoishi ni za tembe na hawana chakula hata midomo yao inatoa vumbi....
Je wanajitambua na wanajua wanachoshabikia,au wanafata mkumbo tu?
Je wanajitambua na wanajua wanachoshabikia,au wanafata mkumbo tu?
Ndani ya uongozi uliotukuka wa ccm, wazee wanafurahia maisha
Waheshimu baba na mama yako upate baraka na heri nyingi duniani. Tatizo lenu nyie peoples ni wahuni na walaaniwa msioheshimu watu wazima.