Yaani moja kwa moja hawana hata darasa la kwanza ni kwamba hawajaenda shule kabisa ndio maana wanashabikia Chama kifu kwa kupewa vikombe vya chumvi na 2000Tsh.Kuhusu bibi yangu yeye kusema kweli kasoma hadi darasa la NANE wakati huo ilikuwa MIDDLE SCHOOL ndio maana hadanganyiki na kama ujuavyo for if you wanna to compare darasa la nane la zamani ni kama FORM SIX YA SASA hope nimekujibu swali lako bila chenga na sio kama najifanya huo ndio ukweli kama hutaji KAANDAMANEWewe bibi yako anaelimu acha ulimbukeni na elimu yako ya kwenye makaratasi tukikuuliza hiyo elimu yako imelisaidia nini taifa la tz hakuna lolote zaidi ya kunywa viroba na kufanya fujo!