Generetaion Z
JF-Expert Member
- Oct 2, 2022
- 343
- 840
Wakuu,
Kwanza nakubaliana na ule msemo tafuteni pesa,
Bana kuna hawa gold digger yani mwanamke anapenda pesa yupo radhi akuchune mpaka senti ya mwisho, bila kujali alafu ukishiwa hataki hata umtumie sms,
Wengine wanaenda mbali zaidi wanakuwambia sio type yangu🤣,
Kweli hatukatai wanawake na pesa ni ndugu wa damu ila kuna ambao hawana utu hata kidogo wala hawajui kama kuna kuishiwa, yani ukimwambia umeishiwa ye anaandika umemnyima
Yani kama mwanamke unampa pesa basi hakikisha unampa mpaka mwisho, kama haumpi basi hakikisha haumpi mpka mwisho ,yani ubahili ubahili mpaka akaipate pesa yako iwe kwa mbinde
Sasa njia moja ya kuwakomesha au kuwatest kama ni gold digger mwenye utu au asie na utu, sitisha huduma gafla ya kumsupply pesa bila taarifa,
Au kwa taarifa then uku uanaangalia reaction yake
Hakikisha nawe unampiga vizinga akikupa hata mbususu sawa unawwza kaa kidogo ukarudisha huduma maana mpe anaekupa asiekupa ni kama kutupa,
Lazima ujuwe tofauti ya kuhonga na kumsaidia mtu ,anesaidia anapata thwawabu
Ok akianza kuleta dharau basi unakausha haumpi tena pesa yako,
Siku una msubiri usiku wa manane unajuwa kabisa hapa kalala unamtumia pesa ktk namba yake bila taarifa kama laki hata laki tatu nne ile meseji imfikie tu
Then dk iyo iyo unajirudishia muamala wako hakikisha mitandao ya simu haikuangushi ktk hili 🤣🤣🤣,
Then unamtumia sms samahani nilikosea nilikuwa nataka nikutumie elfu kumi nikajikuta nimetype vibaya,
Then unalala akileta shobo vuta kula mbususu mtoe na pesa kidgo then kausha unamweka kundi la mdangaji
Tutafute pesa zaidi mara mia umpe mzazi wako kuliko mwanamke asiejali utu au ukawapa random wenye uhitaji utabarikiwa
Gold. Digger wengi hawajui kula na vipofu wanashindwa kutumia mfumo simple wa kylanda, mwanamke akikuambia hana hela juwa anaakiba ya laki sehemu,
Ila mwanaume akisema hana hela ni kweli hana hata mia , mwanamke siku mtu wako akikiambia hana hela mwezeshe siku akipata haoni ugumu kukupa kiasi chochote
Kwanza nakubaliana na ule msemo tafuteni pesa,
Bana kuna hawa gold digger yani mwanamke anapenda pesa yupo radhi akuchune mpaka senti ya mwisho, bila kujali alafu ukishiwa hataki hata umtumie sms,
Wengine wanaenda mbali zaidi wanakuwambia sio type yangu🤣,
Kweli hatukatai wanawake na pesa ni ndugu wa damu ila kuna ambao hawana utu hata kidogo wala hawajui kama kuna kuishiwa, yani ukimwambia umeishiwa ye anaandika umemnyima
Yani kama mwanamke unampa pesa basi hakikisha unampa mpaka mwisho, kama haumpi basi hakikisha haumpi mpka mwisho ,yani ubahili ubahili mpaka akaipate pesa yako iwe kwa mbinde
Sasa njia moja ya kuwakomesha au kuwatest kama ni gold digger mwenye utu au asie na utu, sitisha huduma gafla ya kumsupply pesa bila taarifa,
Au kwa taarifa then uku uanaangalia reaction yake
Hakikisha nawe unampiga vizinga akikupa hata mbususu sawa unawwza kaa kidogo ukarudisha huduma maana mpe anaekupa asiekupa ni kama kutupa,
Lazima ujuwe tofauti ya kuhonga na kumsaidia mtu ,anesaidia anapata thwawabu
Ok akianza kuleta dharau basi unakausha haumpi tena pesa yako,
Siku una msubiri usiku wa manane unajuwa kabisa hapa kalala unamtumia pesa ktk namba yake bila taarifa kama laki hata laki tatu nne ile meseji imfikie tu
Then dk iyo iyo unajirudishia muamala wako hakikisha mitandao ya simu haikuangushi ktk hili 🤣🤣🤣,
Then unamtumia sms samahani nilikosea nilikuwa nataka nikutumie elfu kumi nikajikuta nimetype vibaya,
Then unalala akileta shobo vuta kula mbususu mtoe na pesa kidgo then kausha unamweka kundi la mdangaji
Tutafute pesa zaidi mara mia umpe mzazi wako kuliko mwanamke asiejali utu au ukawapa random wenye uhitaji utabarikiwa
Gold. Digger wengi hawajui kula na vipofu wanashindwa kutumia mfumo simple wa kylanda, mwanamke akikuambia hana hela juwa anaakiba ya laki sehemu,
Ila mwanaume akisema hana hela ni kweli hana hata mia , mwanamke siku mtu wako akikiambia hana hela mwezeshe siku akipata haoni ugumu kukupa kiasi chochote