Imperial za siku hizi na zamani ni tofauti sana, zamani hata baada ya kuogea utabaki unanunikia tu hiyo sabuni,Kabisa chief! Mie ni mtumiaji mkubwa wa hizi imperial kuna kipindi alikuja bimkubwa mmoja toka uingereza alikuja nazo imperial za huko aise arifu ni tofauti, hata jinsi inavyoisha ni tofauti pia.
Mimi huwa naiba vile viEva vya mahotelini na lodges, ndo natumia. Navipenda sana japo havina heshima. Unaweza kushangaa kimepotea tu mwilini maana vidogo sanaNimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Huko hotelini unaenda kila siku mkuu? maana hivo vi eva ni vidogo unaogea mara moja tu kishaisha😂Mimi huwa naiba vile viEva vya mahotelini na lodges, ndo natumia. Navipenda sana japo havina heshima. Unaweza kushangaa kimepotea tu mwilini maana vidogo sana
Duh😂😂Ogea sabuni ya Ilula au Mbuni utanishukuru.
🤣🤣
Yes, mimi ni mtu wa kusafiri. Navikusanya tele. Kumbuka nikiwa hotelini siwezi kumaliza kwa siku moja na kila siku nawekewa kipya.So itategemea nakaa muda ganiHuko hotelini unaenda kila siku mkuu? maana hivo vi eva ni vidogo unaogea mara moja tu kishaisha😂
Uko vizuri mkuu😂😂 unarudi home na visabuni kibaoYes, mimi ni mtu wa kusafiri. Navikusanya tele. Kumbuka nikiwa hotelini siwezi kumaliza kwa siku moja na kila siku nawekewa kipya.So itategemea nakaa muda gani
Sanaaa. sema waongeze ukubwa kidogo,vinakera sanaUko vizuri mkuu😂😂 unarudi home na visabuni kibao
Sasa si ununue sabuni nyingine tu mkuu! Why hivo tu vi Eva😂Sanaaa. sema waongeze ukubwa kidogo,vinakera sana
Yani kama nimelogezewa, mweh! Nitajitahidi nianze kutumia sabuni zingine.Sasa si ununue sabuni nyingine tu mkuu! Why hivo tu vi Eva😂
Sikuamini ujue nahisi unatutania tu na hivo vi Eva😀Yani kama nimelogezewa, mweh! Nitajitahidi nianze kutumia sabuni zingine.
Naipenda sana harufu yake...then bei ya kizalendo,simple tu!