Inkotanyi 94
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,244
- 4,031
Hivi huwa kuna sabuni ya kuogea hadi hutaki kutoka bafuni kama Mena kweli!!
Dudu Osan
Usiku wa kuamkia leo nimeogea hii sabuni, nikasema sipaki chochote nione uzuri wake. Nimeamka nanukia poa sana asubuhi hii.Hapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130
Hizo ni emperial za zamani. Za siku hizi kikaratasi kinatoka siku ya kwanza kuitumiaHivi kile kikaratasi cha kwenye "EMPERIAL" mbona huwa akiishagi au hakilowi na kuchanika! Utaoga weee utamaliza sabuni yako baada ya wiki 2 lakini kile kikaratasi pale kinabaki vile vile!
Mimi yangu mbona kikaratasi hakijatoka mpaka juzi nimekibandua mwenyewe.Hizo ni emperial za zamani. Za siku hizi kikaratasi kinatoka siku ya kwanza kuitumia
Basi zitakuwepo ambazo ni feki labdaMimi yangu mbona kikaratasi hakijatoka mpaka juzi nimekibandua mwenyewe.
Enzi hizo bongo zilikuwa hazipatikani wafanyabiashara wengi walizitoa Malawi.Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Jamaa si ni sabuni ya kufulia hiyo kwa jina jingine gwanji?FORTALEZA,
Zamani tulikuwa tunatumia Emperial toka Malawi na Zambia, nyingine ilikuwa kitu kama Vinolia Lavender kama sikosei toka Zambia.Pia Wengi tuliipenda Geisha, na enzi ya shule tulitumiaga Fa Wana wa CHAPUTA wataikumbuka.
Ila sasa hivi nami natumia Jamaa ni sabuni nzuri.
Hii imperial leather ina faida gani mwilini zaidi ya ile scent yake?.Mimi yangu mbona kikaratasi hakijatoka mpaka juzi nimekibandua mwenyewe.
Mimi na familia yangu hutumia sabuni hii hii moja kuogea, kufulia na kuoshea vyomboHivi huwa kuna sabuni ya kuogea hadi hutaki kutoka bafuni kama Mena kweli!!
The same to meMimi na familia yangu hutumia sabuni hii hii moja kuogea, kufulia na kuoshea vyombo
Usishangane kukuta kipande cha sabuni kimejaa nywele halafu kinatumika kuoshea vyombo
Mimi na familia yangu hutumia sabuni hii hii moja kuogea, kufulia na kuoshea vyombo
Usishangane kukuta kipande cha sabuni kimejaa nywele halafu kinatumika kuoshea vyombo
Ile jamaa inatosha sana..Nafurahi kuiona famelea yangu one love 🤣🤣The same to me
Mimi nilikuwa nakaa kwa uncle ni wealthiest person Ila mambo ambayo sabuni ilikuwa ni jamaa 😁 so nilijifunza kuwa masikini ndo wanahangaika kutakatisha ngozi kwakuwa everything is uncertaintyIle jamaa inatosha sana..Nafurahi kuiona famelea yangu one love 🤣🤣