Zinauzwa sh ngapiMbona zipo kibao. Me mwenyewe natumia Dove miaka na nanunua Kariakoo View attachment 1906540
Unakua unakomesha Nini sasawengine tulikua tunatumia sabuni zinaitwa "Mshindi", "Komesha"

Zipo natumia hizo na familia yangu miaka yoteTofauti ipo aisee
Huwezi fananisha harufu ya hizo na Jamaa hata kama zote ni sabuni
Kuna Mzungu alikuja ''summer trip'' shuleni tukiwa O-level akatugawia sabuni ya Dove for men na ya Nivea ya shower gel moja moja kwenye chupa kama hiyo.
Ile Dove sijawahi kuonaga tena bongo hata kwenye S'market mpaka leo na ukiogea ina harufu nzuri sana na hata usipojipaka mafuta inakung'arisha kama vile umejipaka, na Nivea naonaga tu body lotion na face wash.
Natumia doveMe nakogea hiyo. Dove Goat Milk View attachment 1906535
Pia bonge YA sabuniNzuri inaondoa chunusi ukipata og
Povu la kifalmeHapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130