Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,665
- 3,310
Kuna wanaoshinda kutwa nzima na mafundi apo saiti wakifatilia kila kinachoendelea lengo ni kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Mbinu hii inataka uvumilivu mkubwa maana kushinda tu sehem nayo ina changamoto zake na inabidi uache kazi zako zingine zote uweze kuwepo apo saiti muda wote.
Wengine wanatumia masupavaiza au waangalizi japo na yenyewe ina risk zake maana uyo naye ni binadam bado kuna risk ya kupigwa.
Je ww unayejenga unatumia MBINU gani kuzuia usipigwe kwenye izi kazi za ujenzi?
Wengine wanatumia masupavaiza au waangalizi japo na yenyewe ina risk zake maana uyo naye ni binadam bado kuna risk ya kupigwa.
Je ww unayejenga unatumia MBINU gani kuzuia usipigwe kwenye izi kazi za ujenzi?