Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 3,146
- 6,008
Kabla hata ya uchaguzi CCM walishaambiwa na madai ya watanzania yalikuwa wazi na wimbo ulikuwa mmoja, HAKI HAKI HAKI HAKI
Pamoja na kelele hizo CCM kwa uchu na tamaa ya madaraka wakalazimisha kujitwalia Madaraka kimabavu ikibidi hata kwa kumwaga damu, na ndicho kilichotokea.
Baada ya mauaji na kujivika taji la damu sasa wanarejea kuuliza nini kilitokea, Seriously?
Pamoja na kelele hizo CCM kwa uchu na tamaa ya madaraka wakalazimisha kujitwalia Madaraka kimabavu ikibidi hata kwa kumwaga damu, na ndicho kilichotokea.
Baada ya mauaji na kujivika taji la damu sasa wanarejea kuuliza nini kilitokea, Seriously?