Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Mkuu ni commitment tu,mi nilifanya diet ya kula veggie asubuhi,mchana veggie or fruits usiku fresh juice without any added sugar and i lost 4 kgs,Mind that kuna siku kama mbili hivi nilkuwa nacheat nakula kaubwabwa kiduchu au kaugali kadona..unawweza then baada ya hizo siku unaanza kula kama kawaida ila unacontrol intake yako na mazoezi unapungua...i was 97 and now ndani ya miezi 2 nna 79 kgs
Unastahili pongezi!
 
....Nashangaa vijana wa siku hizi 20/25 kitambi kikubwa utafikiri nini sijui!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwakuwa mwili ulikuwa haujazoea, haukutakiwa kuacha, fanya tu hadi mwili ozeoee then mambo yatakuwa poa.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwakuwa mwili ulikuwa haujazoea, haukutakiwa kuacha, fanya tu hadi mwili ozeoee then mambo yatakuwa poa.
Aah wee mkemwenza walisema eti sio mazuri kwa mwanamke. Katika huu mwili wangu hakuna kitu naogopa kuharibu kama kizazi. Lile nimelipotezea kwanza sasa hivi nataka nianze upya ntakuwa nafanya taratibu
 
Dah... Raha ya mazoezi ufanye na mwenzi...mnatiana moyo.. akipiga 3 unapigwa 30[emoji13] [emoji13]
 
Aah wee mkemwenza walisema eti sio mazuri kwa mwanamke. Katika huu mwili wangu hakuna kitu naogopa kuharibu kama kizazi. Lile nimelipotezea kwanza sasa hivi nataka nianze upya ntakuwa nafanya taratibu
Walisema sio vizuri kwa mwanamke
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hebu fafanua zaidi mke mwenza!

Mie nakumbuka siku ya kwanza nilifanya squarts vizuri, siku ya pili ilikuwa hata kuinama ni shughuli, taabu ikawa chooni sasa kuinama kidogo nipitilize nikae chini maana sio kwa maumivu yale!! Mazoezi ni wito jamani.
 
Dah... Raha ya mazoezi ufanye na mwenzi...mnatiana moyo.. akipiga 3 unapigwa 30[emoji13] [emoji13]
Hapo kwenye kutiana moyo mwanzo nilisoma tofauti!!
[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Walisema sio vizuri kwa mwanamke
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hebu fafanua zaidi mke mwenza!

Mie nakumbuka siku ya kwanza nilifanya squarts vizuri, siku ya pili ilikuwa hata kuinama ni shughuli, taabu ikawa chooni sasa kuinama kidogo nipitilize nikae chini maana sio kwa maumivu yale!! Mazoezi ni wito jamani.
Walisema eti zoezi hilo sio zuri kwa mwanamke
 
Mimi kila siku huwa nawauliza humu ndani? Nifanye nini ili kupunguza unene wa mikono? Yaani unene wangu ni miguu na mikono mweee sipendi kabisa. Nimefuata ushauri wenu humu but no changes
 
Mimi kila siku huwa nawauliza humu ndani? Nifanye nini ili kupunguza unene wa mikono? Yaani unene wangu ni miguu na mikono mweee sipendi kabisa. Nimefuata ushauri wenu humu but no changes
Sikuwahi kuona swali lako.

Unene wa mikono kiasi kwamba nyama zinaning'inia au ni minene lakini imekaa kikakamavu?

Wewe ni me au ke?
 
Sikuwahi kuona swali lako.

Unene wa mikono kiasi kwamba nyama zinaning'inia au ni minene lakini imekaa kikakamavu?

Wewe ni me au ke?
Mimi ni ke, nyama hazining'inii sana, ila unene wangu zaidi ni mikono na miguu. Mwili una unene wa kawaida tu ila naona mikono iendako siko, sitishi sana ila nikiona wanawake wenzangu baadhi yao mikono inakuwa mikubwa km paja naogopa na sipendi kwa kweli
 
Mimi ni ke, nyama hazining'inii sana, ila unene wangu zaidi ni mikono na miguu. Mwili una unene wa kawaida tu ila naona mikono iendako siko, sitishi sana ila nikiona wanawake wenzangu baadhi yao mikono inakuwa mikubwa km paja naogopa na sipendi kwa kweli
Hua unafanya aerobics?
 
Hua unafanya aerobics?
No! Nilifanya muda mrefu sana nikiwa udsm. Sasa hivi najifanyia mwenyewe nyumbani ya kawaida tu km kuruka kamba, situps, nk.But si kila siku coz muda unanibana. Nishauri mtaalam wangu nifanyeje?
 
Mimi ni ke, nyama hazining'inii sana, ila unene wangu zaidi ni mikono na miguu. Mwili una unene wa kawaida tu ila naona mikono iendako siko, sitishi sana ila nikiona wanawake wenzangu baadhi yao mikono inakuwa mikubwa km paja naogopa na sipendi kwa kweli
Chukua chupa la lita 1.5 la Kilimanjaro jaza mchanga,then uwe unalirusha mbele nyuma,nyuma mbele..kama unasukuma bembea sio kurusha udake[emoji3]
Au piga ngumi hewani...
 
No! Nilifanya muda mrefu sana nikiwa udsm. Sasa hivi najifanyia mwenyewe nyumbani ya kawaida tu km kuruka kamba, situps, nk.But si kila siku coz muda unanibana. Nishauri mtaalam wangu nifanyeje?
Fanya aerobics na kujog. Kwakua unataka kupunguza kilichoongezeka unahitaji kupunguza fat.

Usiache kuruka kamba.
 
Back
Top Bottom