cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
Unakaribishwa!Shukrani mkuu...
mkuu hicho kitairi(roller) nasikia ukifanya sana zoezi lake unaweza kuumwa kifua na mbavu baada ya miaka mitanoNilinunua elfu 10, ukiwa Feri unataka kuvuka kwenda kigamboni utakuta kuna jamaa ameweka vitu vya mazoezi na hivyo vitairi anavyo.
Kula ni kawaida ila isiwe junk food (Burger, Pizza n.k)
Samahani nimechelewa kuona post yako.mkuu hicho kitairi(roller) nasikia ukifanya sana zoezi lake unaweza kuumwa kifua na mbavu baada ya miaka mitano
nashukuru maana mimi ndio nimeanza mwaka huuSamahani nimechelewa kuona post yako.
Mkuu nimeanza kutumia kitairi muda mrefu tangu 2013.
To be fair hua nafanya mazoezi kisha naacha kwa muda, inawezekana hilo likawa limesaidia lakini hata hivyo nawajua watu ambao wametumia hiki kitairi kwa muda mrefu na hawakupata haya madhara.
Hata online sijaona sehemu iliyoonesha kua roller ina side effects. Pengine aliyekua anatumia hakua akijiweka katika mkao mzuri na idadi ya reps na namna ya kufanya hakuzingatia.
Zoezi la kitairi bwana ni gumu sana kwakweli, misuli ya tumbo inauma vibaya sanaSamahani nimechelewa kuona post yako.
Mkuu nimeanza kutumia kitairi muda mrefu tangu 2013.
To be fair hua nafanya mazoezi kisha naacha kwa muda, inawezekana hilo likawa limesaidia lakini hata hivyo nawajua watu ambao wametumia hiki kitairi kwa muda mrefu na hawakupata haya madhara.
Hata online sijaona sehemu iliyoonesha kua roller ina side effects. Pengine aliyekua anatumia hakua akijiweka katika mkao mzuri na idadi ya reps na namna ya kufanya hakuzingatia.
Poa mkuu ngoja niendelee, kitairi sio zoezi la mchezo mchezoSana sana inakua mwanzoni ila baada ya muda unakua unaona ni kawaida na utakua unaenjoy zoezi lako.
mkuu siku za mwanzo unaweza hisi unamshono unataka kuchanikaZoezi la kitairi bwana ni gumu sana kwakweli, misuli ya tumbo inauma vibaya sana
siku za mwanzo unaweza kuhisi unamshono unataka kuchanikaZoezi la kitairi bwana ni gumu sana kwakweli, misuli ya tumbo inauma vibaya sana
hatimaye juzi ijumaa nimepokea mzigo wangu nilionunua kwa huyu mheshimiwasorry mkuu nikitaka nitengeneze kifua kiwe kama hapo kwenye picha ulio tupia.(bila kwenda gmy lakini)
Samahani mkuu nimechelewa mno kuiona post yako.sorry mkuu nikitaka nitengeneze kifua kiwe kama hapo kwenye picha ulio tupia.(bila kwenda gmy lakini)
mkuu njia nyingine hamna mana sina hata kifaa kimoja cha gmy (lakini kifua chenyewe kisiwe kikuubwa cha kawaida tu kama flat ivi)
Samahani mkuu nimechelewa mno kuiona post yako.
Bonyeza username ya Castr nenda kwenye posts utakuta uzi unasema 'Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia gym'
Utapata unachokitaka mkuu.