UNATAKA LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU: AAAH WAPI LABDA UNIROGE

UNATAKA LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU: AAAH WAPI LABDA UNIROGE

Hahaha Jamaa ana guts za ajabu. .if ningelikuwa mimi ningebaki na aibu yangu. .huwa siwezi conflict kabisa aise
Eeh wengi wangepotezea tuu ka wewe kwa machungu. Ila uhakika moyoni unakua bado na hasira na kuwaza zile wishful thinking vile ungeweza kumkomesha(ila ndo hauwezi kuvifanya).
Bora uyo kaweza kumtolea uvivu shaaaaarp.[emoji23]
 
Hahaha una muongelea Zero IQ ..huyo mpaka dakika hii Mtaji keshafilisi na za kunyapia nyapia zina Dai kuwa jana alivuliwa viwalo na manzi 1 hivi. Na kuviacha kama bond ..ni baada ya kumla huku akiwa hana hata hela ya kumpa kama kifuta jasho... so unadhani ushauri wake hautopelekea na sisi kukutana na fedheha kama hiyo iliyomkuta, .?
Mwenyewe napigiwa kelele mpaka bank "WE KAKA HIZI HELA ZA ADA YA MTOTO" mbinu gani nitakupa ndugu!.
Ila kuna kijana mmiliki wa kiwanda cha kuchakata viazi kuwa chipsi🙂 naona yupo vizuri kuopoa sekta hii!.. Atupe mbinu labda.
 
Naam Kuna watu hawajambo kwa visasi. Mkuu. .Alicho kosea mdada ni kumfuata jamaa alipokaa na kuanza kujifanya kumtambia hahaa wakati jamaa alikuwa tayari ameshakubali aibu iliyomfika. ...
Eeh wengi wangepotezea tuu ka wewe kwa machungu. Ila uhakika moyoni unakua bado na hasira na kuwaza zile wishful thinking vile ungeweza kumkomesha(ila ndo hauwezi kuvifanya).
Bora uyo kaweza kumtolea uvivu shaaaaarp.[emoji23]
 
Hahaha una muongelea Zero IQ ..huyo mpaka dakika hii Mtaji keshafilisi na za kunyapia nyapia zina Dai kuwa jana alivuliwa viwalo na manzi 1 hivi. Na kuviacha kama bond ..ni baada ya kumla huku akiwa hana hata hela ya kumpa kama kifuta jasho... so unadhani ushauri wake hautopelekea na sisi kukutana na fedheha kama hiyo iliyomkuta, .?
hakuna hata kavideo ka tukio?.. tutajua tu mbele ya safari,yeye atoe maelezo tu!.
 
Mkuu hautaki audio ' haha Chama chetu cha wanaume kina sera ambayo inatutaka kulindana ..so siwezi Kui - upload hapa ..nitakuwa nime mfedhehesha mjumbe mwenzetu ' ... though kama ambavyo unavyojua kwenye haya mambo kukutana na ajali kama hizi ni kawaida. . Who knows next time inaweza Kuja kuvuja clip yako ile uliyo record na yule shangingi wa makuburi ' Mtu mzima utakuja kutamani ardhi ikumeze Hahaha. .so jambo la msingi ni kuishi na wa jumbe wenza vizuri ili mambo yako yakienda kombo upate wa kukutetea
hakuna hata kavideo ka tukio?.. tutajua tu mbele ya safari,yeye atoe maelezo tu!.
 
Mkuu hautaki audio ' haha Chama chetu cha wanaume kina sera ambayo inatutaka kulindana ..so siwezi Kui - upload hapa ..nitakuwa nime mfedhehesha mjumbe mwenzetu ' ... though kama ambavyo unavyojua kwenye haya mambo kukutana na ajali kama hizi ni kawaida. . Who knows next time inaweza Kuja kuvuja clip yako ile uliyo record na yule shangingi wa makuburi ' Mtu mzima utakuja kutamani ardhi ikumeze Hahaha. .so jambo la msingi ni kuishi na wa jumbe wenza vizuri ili mambo yako yakienda kombo upate wa kukutetea
Nacheza karata vizuri sana na mwenyekiti wangu, zikivuja zitagoma onekana mtamtafuta azirekebishe hapo ndo ataponitetea sasa!..
Ila baada ya Mungu tuiogope sana Technology!..
 
mwambie sawa asubuhi utamlipa hiyo 200,000 lakini asubuhi punguza sifuri moja kwenye hayo malipo.
 
Nacheza karata vizuri sana na mwenyekiti wangu, zikivuja zitagoma onekana mtamtafuta azirekebishe hapo ndo ataponitetea sasa!..
Ila baada ya Mungu tuiogope sana Technology!..
Naam technology acha kabisa ..simchezo Muda huu technology imekwenda Lumumba kuwapa kichapo. .Mwaka huu ilianza Anza na amber rutty. Ikamuadhibu. Kisha ikaenda kwa Mteja wako mariam birian(mkuu na sikia imekula sana pilau lake ) kisha ikaenda kwa bwana mchungaji gwaji boy baada ya hapo imesogea mpaka Lumumba. .. hatari sana mkuu
 
Hahaha una muongelea Zero IQ ..huyo mpaka dakika hii Mtaji keshafilisi na za kunyapia nyapia zina Dai kuwa jana alivuliwa viwalo na manzi 1 hivi. Na kuviacha kama bond ..ni baada ya kumla huku akiwa hana hata hela ya kumpa kama kifuta jasho... so unadhani ushauri wake hautopelekea na sisi kukutana na fedheha kama hiyo iliyomkuta, .?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aiseeeeeeee mkuu mkuu wewe umepata wapi hizo data ilikuwa ni siri nzitoo
 
Naam technology acha kabisa ..simchezo Muda huu technology imekwenda Lumumba kuwapa kichapo. .Mwaka huu ilianza Anza na amber rutty. Ikamuadhibu. Kisha ikaenda kwa Mteja wako mariam birian(mkuu na sikia imekula sana pilau lake ) kisha ikaenda kwa bwana mchungaji gwaji boy baada ya hapo imesogea mpaka Lumumba. .. hatari sana mkuu
Nimekuita jukwaa pendwa kule kuna mtu hatupi likizo anatoa back2back!..
 
Acha weee. .siku zote hizo nilikuwa wapi mpaka nipitwe kiasi hicho! !!!
Nimekuita jukwaa pendwa kule kuna mtu hatupi likizo anatoa back2back!..
 
Hahaha mkuu umesahau kuwa nipo kwenye board ya intelligence ya Chama cha wanaume wote rijali
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aiseeeeeeee mkuu mkuu wewe umepata wapi hizo data ilikuwa ni siri nzitoo
 
Back
Top Bottom