UNATAKA LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU: AAAH WAPI LABDA UNIROGE

UNATAKA LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU: AAAH WAPI LABDA UNIROGE

hearly

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
54,347
Reaction score
80,220
Kwa mujibu wa Dr . criss cyrilo
Hadithi hii ipo kwenye kitabu kiitwacho "
PLATO & PLATYPAS WALK INTO A BAR.

--------------------------
Jana niliingia Library Pali kuwa kimya sana .
Wakati natafuta pahali pakukaa. Nikakutanisha Macho na Mtoto mmoja hivi shombe-shombe Mkali balaa.
Akatabasamu kisha akaangalia Kitabu chake na kuendelea Kusoma

Moyoni nikajisemea "FURSA "hii .nikamsogelea na kwa sauti ya chini sana iliyo tu-tosha sisi wawili nikam-chombeza , Habari mrembo ni naweza kukaa hiki kiti Cha Jirani Yako, ?
--------
Akanijibu kwa sauti Kubwa mno. Ambapo kila mtu mle ndani Alii sikia , Akasema -SIWEZI KULALA NA WEWE LABDA UNIROGE ''---
kila mtu alinigeukia mimi na kunishangaa
Kwa unyonge ni kaenda kukaa sehemu nyingine iliyokuwa wazi, ,

Baada ya dakika mbili Yule mrembo akanifuata Hadi nilipo kuwa nimekaa. Akaniambia kwa sauti Hafifu mno. Nina soma Psychology ninajua unacho kifikiria . Unajihisi nime kuai-bisha sana sindio ? I'm sorry ...
-------'------
Nikaropoka kwa sauti Kubwa sana - UNATAKA LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU AAH WAPI LABDA UNIROGE.

Halafu Nikamuambia kwa sauti ya chini mno Nina soma sheria. Nina Jua kumfanya mtu Ajione mwenye Hatia I'm sorry "

By -malisa
 
Hahaha hatari mkuu... Kuna jamaa yangu mmoja ilishawahi kumtokea kama hiyo ...alikuwa kwenye dala dala then amekaa kwenye seat 1 na mnyange 1 hivi si akamshobokea bwana. .Yule dada akamjibu kwa sauti Kubwa hee we kaka vipi mbona unanishobokea hivyo ...hahaa Jamaa nae hakuwa mnyonge aise akamjibu AAAH WE DADA VIPI KAMA UMEJAMBA NISIKUMBIE (kumradhi )
Hii inaitwa kutumia chance vizuri, retaliation kali sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..safi saaaana .
Mwingine angekubali tuu kiroho Safi hamna shida..bora mkaka kawa na moyo wa kumkazia asilete upuuzi siku ingine at the expense of others.
 
Hahaha Jamaa ana guts za ajabu. .if ningelikuwa mimi ningebaki na aibu yangu. .huwa siwezi conflict kabisa aise
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..safi saaaana .
Mwingine angekubali tuu kiroho Safi hamna shida..bora mkaka kawa na moyo wa kumkazia asilete upuuzi siku ingine at the expense of others.
 
Baada ya dakika mbili Yule mrembo akanifuata Hadi nilipo kuwa nimekaa. Akaniambia kwa sauti Hafifu mno. Nina soma Psychology ninajua unacho kifikiria . Unajihisi nime kuai-bisha sana sindio ? I'm sorry ...
Nikaropoka kwa sauti Kubwa sana - UNATAKA LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU AAH WAPI LABDA UNIROGE.
Halafu Nikamuambia kwa sauti ya chini mno Nina soma sheria. Nina Jua kumfanya mtu Ajione mwenye Hatia I'm sorry "
By -malisa
We mwalimu mcheza Biko!😀, title yako nilitaka uliza yaelekea umelala na hasira kukosa 'chakra' kumbe ni mada tofauti kabisa!.
Ila hujaitendea haki mada na Malisa mwenyewe ipeleke jukwaa la gladiators (siasa) watu wakadeal nayo vizuri!.
 
Hahaha hatari mkuu... Kuna jamaa yangu mmoja ilishawahi kumtokea kama hiyo ...alikuwa kwenye dala dala then amekaa kwenye seat 1 na mnyange 1 hivi si akamshobokea bwana. .Yule dada akamjibu kwa sauti Kubwa hee we kaka vipi mbona unanishobokea hivyo ...hahaa Jamaa nae hakuwa mnyonge aise akamjibu AAAH WE DADA VIPI KAMA UMEJAMBA NISIKUMBIE (kumradhi )
Teh
Nmecheka kifala
 
Hahaha gladiators kule litakosa wachangiaji mkuu '(unisamehe kwa hilo )

Hahaa kwamba mimi ni-nyimwe chiu then nije kutangaza humu aise ' siwezi kushiriki huo Ujinga. ..Bora muda wangu huo nitumie kukutafuta role model wangu unipatie mbinu mpya za mitongozo
We mwalimu mcheza Biko!😀, title yako nilitaka uliza yaelekea umelala na hasira kukosa 'chakra' kumbe ni mada tofauti kabisa!.
Ila hujaitendea haki mada na Malisa mwenyewe ipeleke jukwaa la gladiators (siasa) watu wakadeal nayo vizuri!hearly, post: 32193151, member: 231711
 
Hahaha gladiators kule litakosa wachangiaji mkuu '(unisamehe kwa hilo )
Hahaa kwamba mimi ni-nyimwe chiu then nije kutangaza humu aise ' siwezi kushiriki huo Ujinga. ..Bora muda wangu huo nitumie kukutafuta role model wangu unipatie mbinu mpya za mitongozo
Mwenyewe napigiwa kelele mpaka bank "WE KAKA HIZI HELA ZA ADA YA MTOTO" mbinu gani nitakupa ndugu!.
Ila kuna kijana mmiliki wa kiwanda cha kuchakata viazi kuwa chipsi🙂 naona yupo vizuri kuopoa sekta hii!.. Atupe mbinu labda.
 
Back
Top Bottom