Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Yaani wewe ndo bado una ukoloni wa kifikra, so unataka kutuaminisha kuwa weupe ni bora kuliko weusi au unataka tuamini nini?
Nachukia sana mtu asiyethamini uasili wake!! nakuchukia na wewe!
Soma wimbo ulio bora uone jinsi binti mweusi alivyosifiwa "mimi ni mweusi mweusi tii lakini ni mzuri" umesahau hata ile noval maarufu ya "black is beuty"
Shame on you na weupe wako, na ukombolewe kifikra. Nyie ndo mnakaribisha mpaka ucamerun kwetu (kazi kukutanisha hajakubwa zenu tu)
Hahahaaa...wewe kumbe haujamfahamu Boflo?.....aaaaah, kumbe wewe mgeni, karibu JF!